Asante kwa kuliona hili, kwanza hakuna waziri anaepiga kazi( labda iwe kuwawajibisha wafanyakazi uchwara), lakini kuhusu miradi, pesa zote za maendeleo zinatoka kwa mahesabu na mipango ambayo ilishawekwa na kwa wakati gani mradi wowote utaanza kutekelezwa.
Kwa hiyo ukiona waziri anasema mradi...
Bora umeliona hili, ukitaka kujua hatuna utaratibu nenda makaburini. Kila mtu anazika anavyojiskia kichwa kinaangalia popote.
Hakuna cha kwamba huu mstari ukijaa unafata huu, hata kama makaburi ni ya dini zote.
Siku ambayo nilijua kwamba hatuko serious ni siku ambayo makamu wa raisi Mpango...
Baba ako ni mbongo au mkanada?
Kama ni mbongo mjengee huku nyumbani, then umrudishe na kama unaweza mfungulie biashara na atafute mke aoe, miaka 46 ni michache sana kwa mwanaume mwenye akili timamu kutangatanga kwenye familia za watu, labda awe ni mgonjwa na hawezi kuishi bila ww karibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.