ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,249
Elimu kuhusu vvu bado sana nahisi serikali iongeze wataalamu ili kulinusulu taifa hili, sasa mkuu nikurudie vvu haiambukizwi kwa kutokuchubuana bali hata majimaji ya ukeni ukipiga kavu hua na virus vya vvu ila kama anatumia dawa viral load hua ni Chichester sana kwaio probability za kupata zinakuwa coaches ila kama alikuwa hajui status yake na hatumii dawa vizuri basi kapime update uhakika.
Genye zitawaua nunua mipira weka geto