Vipaza sauti vya waislamu ni kwa muda nfupi siyo kwa walokole ni usiku kucha na mchana kutwa watu hatulsli kwa mikelele ya kuwaombea wagonjwa na mizik i ya sauti kali!! Inakera sana!!
Mi nashauri Mkuu wa Mkoa aanzishe mfuko wa kumchangia aende India miono ya madaktari hapa inaweza kuwa tofauti na ya wenzetu huko nje. Madakatari kama India wana utaalamu 8mkubwa anaweza kupandikizwa vitu huyo bwana akaona. Ila badonina uhakika akienda India anataona tu. Jsmani tumsaidie...
Leo ni
Leo Traffic Police ananiuliza risiti ya petrol!!! Hii ni baada ya kutoka pale petrol station ya junction ya pugu road na chang'ombe road nikashangaa badae nikajua alidhani nimetanua kwa kuunganisha petrol station kuingia barabara kuu. Hv sheria inasenaje hapo?
Mlango wa gari ya Toyota Porte ni automatic. Nilipeleka gari kuoshwa baada ya hapo ile automatic ya kufunga na kufungua mlango inegoma. Kama kuna fundi anitafute kwa namba 0784674578
WaKishAhama mambo yatajiseti tu.anavyosema Mbowe ni sawa na kujenga nyumba unaanza na nia ya kujenga ndio utajenga ukingoja upate mabilioni wala hutajenga. Na kumbuka sasa wananchi wanachangamkia fursa hiyo. Nyumba zitsjengwa miundombinu itaimarishwa. Hawa Ukuta sijui ukawa sijui ukiwa mi...
Mjumbe wa kamati kuu ya chadema kuongea na taifa!!!!!!! Ni Rais pekee ndio anaongea naTaifa kwa taarifa yako huyo atakuwa kwenye kipindi cha mahojiano tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.