bongobongo
Member
- Jul 28, 2015
- 82
- 30
HUKU NI KUKURUPUKA. NO RESEARCH DONEYeye mbona hakulazimishwa ? Hatutakubali watoto wetu waburuzwe hata kidogo !
HUKU NI KUKURUPUKA. NO RESEARCH DONEYeye mbona hakulazimishwa ? Hatutakubali watoto wetu waburuzwe hata kidogo !
Huyu nayeeeee.........Wanaomwombea mabaya rais wetu washindwe na walegee .
Mashetani wakubwa
Civics??????????????????Masomo yanayotakiwa kufahamika na kila mtoto anayehitimu kidato cha 4 ni haya:
1.Kiingereza 2. Kiswahili 3. Geography
4. History 5. Mathematics 6.Information Science. 7. Chemistry 8. Physics 9. Biology
Plus one of the following options: 1. Additional Maths. 2. Religious Studies
3. French 4. Music 5 . Fine Art
Yaani kila mtoto anachukua masomo 10 kamili.
Una akili nyingi sanaKwa hili ninakuunga mikono yoote professor ndalichako Congratulations kwa jambo hili. nakuunga mkono na faida zake na mifano yake ni kama ifuatavyo 1. Kila mtanzania atakuwa anawaza kujiajiri pindi ana knowladge ya sayansi 2. Masomo yanayotengeneza ajira za viwandani ni masomo ya sayansi kama pcb,pcm,pgm,EGM,ECA,CBG,nk Mtu akiwa na uwelewa wa masomo haya siku akimaliza kidato cha nne atakwenda Veta na kujua ufundi ambapo atakuwa na uwezo wa kuajiriwa kwenye sector ya viwanda kwa kuwa viwanda vingi watendaji wengi huwa daraja la chini na degree ni wasimamizi tu mfano mimi nina mpango wa kuanzisha kiwanda Cha ngozi pale shinyanga ninategemea kuajiri vijana 1000 na nitaajiri kwa asilimia kubwa vijana waliohitimu Form four na kwenda Veta waliosoma sayansi. 3.China wameendelea na wafanyakazi wengi viwandani wana Elimu ya college na kwa kuwa wana mfumo wa kusoma masomo yote ya hati na sayansi ni rahisi kuajirika kwa kuwa wana knowldge Kwa kuanzisha hili nakupongeza prof ndalichako. 4. A lieharibu elimu ya sayansi kuanzia shule ya msingi ni Mheshimiwa Mungai wazili aliefuta sayansi shule za msingi lakini lengo lake tunalijua hakuwa mtanzania na alitumwa na Kenya kuiua Elimu ya Tanzania ili kesho iendelee kwenye soko husika. 6.Kuhusu maabara hakuna shida kwa anaelalamika kwa kuws serikali ilishajenga maabara zote shule za sekondary. 7. waalimu wataajiriwa,tu no wasiwasi wa mleta habari kwani wale wanafunzi waliorudishwa UDOM wamepangiwa kusoma vyuo vya diploma ili wasidie kufundisha secondary. 8. ongezea na somo la kichina liwe compulsory kwa sababu wakenya kwa sasa wanakimbilia hilo soko na hatimae watakuja kuchukua hilo soko,sasa basi jitahidi kila mwaka peleka waalimu 100kila mwaka kusoma kichina kwa scholarship za wachina ambpo itasaidia kuboresha somo hilo. 9. Elimu ya form four kusoma science haimzuii mtoto wa mtu kusoma sheria,Kwa kuwa specialization inaanzia form six sio form four. 10. Kila mtoto mwambie faida ya kupenda masomo ya science, mfano hivi karibuni nilimhamasisha mtoto wa form four kusoma somo la kichina ambapo nilimwambia akijua kichina akimaliza shule form four ni rahisi kupata kazi ya translation ya kichina kwa kuwa jamii hiyo inaongezeka kuja Africa, Jana nimekutana nae anajua kuandika jina lake kwa kichina kafurahi na anajituma .Hongera saana mheshimiwa,usiogope maneno ya JF wewe chapa kazi hawa wengine hawataki kusikia maendeleo wamezoea varangati za maandamano.Ila mheshimiwa waambie wanafunzi kuwa ili fanikiwe awe na maendeleo SIASA za fujo hazitamsaidia,atakuwa maskini kwa kumjengea mtu umaarufu.
Wewe kweli mzalendo!!! Ubongo wako ni mgodi wa almasini kuwaongezea mzigo walimu tu kuwafundisha watua ambao hawaelewi au hawako tayari sawa na kumfundisha mbwa mzee kuwinda. kule sekondari kuna watoto wanawaowasomea wazee wao na walimu na si wao wenyewe ndo maana kuna utoro na uhuni mwingi walimu wanapata shida sana
suluhisho la sayansi ni vyuo vya ufundi waende huko wakue na kukomaa zaidi kwa vitendo tuache kuwajaza watt matheories huko mashuleni ambayo hawayaelewi
Ndiyo maana kipaumbele cha UKAWA kilikuwa elimu elimu elimuJuzi walituletea BRN leo wanaleta madudu mengine, mambo ya POLICY sio jambo la prof kijifungia na watu wake watano na kuamua mustakbali wa wananchi na maisha yao. Haya mtoto anafanya physics na hajawahi kuisoma tangia akiwa form one, hicho kiwanda chako kitasaidia nin?? kwani hivyo viwanda vimejengwa wapi ili tuambiwe kuwa havina wataalamu?? sasa huyu akusimamie Phd yako si utatamani dunia ipasuke uzame???
Kitu serikali isichokielewa nikwamba matatizo makubwa ya elimu yetu yapo ELIMU YA MSINGI, huku ndiko ambako mtoto atatoka na mwelekeo wa VIWANDA au VINYOZI, sio sekondari. Kwa mafano mwana funzi amemaliza darasa hajui hata longitude na latitude ni kitu gani, hiyo sayansi anayosoma shule ya msingi ipo kwa KISWAHILI akifika sekondari anakutana na ENGLISH, watoto wanataabika na kukariri tu hawajui kinachoondelea.
Ni jambo lakushangaza sana, mara nyingi tumesikia wanafunzi wanajiunga sekondari hawajui kusoma wakla kuandika, huyu anaweza kutafuta MOLARITY na MOLAR MASS?? kama hata jina lake mwenyewe hawezi kuliandika?? Huu uprofesa mnaenda kusomea jinsi yakugawa mali mnapotalikiwa na waume zenu au kitu gani??
Kuna shule nyingi sana hazina walimu wa sayansi hasa PHYSICS NA MATHS, wakati huohuo mwanafunzi ametoka shule ya msingi hajui kusoma wala kuandika, jamani hivi viwanda havianzii sekondari, viwanda vinaanzia kwenye shina la elimu yetu. Pia kuna shida ya watoto wengi kutotaka kusoma sio hayo ya sayansi tu bali hawataki kusoma hata hayo ya sanaa tofauti na zamani, serikali itafute suluhisho lakudumu na hakuna haja yakufanya haraka manake hata nishati ya uhakika hatuna, viwanda hivi vitatumia USHUZI?? swala lakuhamia dodoma hamjamaliza leo mnakuja na mengine. Mfumo wa elimu haubadilishwi kama mtu anavyobadilisha nguo ya ndani au soksi zake akavaa nyingine within 20 seconds, ni mchakato tegemezi na shirikishi wa sekta nyingi na kuwaandaa beneficiaries kwa kila eneo.
Je viwanda hivi havitahitaji WAHASIBU, watu wa ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT??, watu wa PROCUREMENT?? Sasa huyu mwnafunzi atasoma masomo mangapi?? si yatafika 20?? au sisi tunajua viwanda vinahitaji Cemistry na Physics na Maths tu?? Kuna watu wa LABOUR RELATION?? COMMUNITY DEVELOPMENT, SPATIAL ORGANIZATION?? hawa wote watasoma masomo ya sayansi???
Kisu cha ngariba wewe ni MULISYA...hicho kisu umekishikilia lakini hujui uchungu wakeNina wasiwasi ata kidato cha nne ujamaliza.
Uyo mama anatoa vitu from no where wange kua wa naitaji watu wa science wangefungia vyuo vya udactari na waliofaulu waka some wapUwezi mlazimisha mtu kusoma sayansi wakati hakuna vyuo vingi vya udaktari,engineer waongeze na kuboresha vyuo vitoe kozi za sayansi kama udaktari na kuongeza mikopo
waandae mazingira mazuri tu watu watapenda sayansi automatikale sio shule nzima walimu wawili huku maabara zikichechemea kwa ukosefu wa vifaa mwalimu mwenyewe mshahara wake hata haumshawishi kufanya extra activities hapo tutakuw tunatwanga tikitimaji hali tukitegemea tupate walau pumba za kulisha kuku
Mkuu umeenda mbali sana,leo hii kununua kemikali kwa ajili ya mafunzo ni mtihani achilia mbali kuwa na maabara zenye vifaa vya kujifunzia,jamani tunaweza kuwa na mawazo mazuri sana lakini tunataka kuwa na kenda wakati moja hatuna,tuanze kujenga maabara,tuweke vifaa,tuhakikishe waalimu wajuzi wa hiyo sayansi wapo na ndipo tuje na matamko,nachelea kusema hivi,,,wale wenye daraja la nne na sifuri watakua wengi mara dufu,asante.Uwezi mlazimisha mtu kusoma sayansi wakati hakuna vyuo vingi vya udaktari,engineer waongeze na kuboresha vyuo vitoe kozi za sayansi kama udaktari na kuongeza mikopo
Civics??????????????????
Serikali inakwenda kinyume nyume, imeanza na madawati kwanzaWalimu wa kufundisha sayansi wako wapi?