Masomo ya kilimo na ufugaji

Masomo ya kilimo na ufugaji

Habari za kuamka wakubwa zangu na wadogo zangu

Kuna msemo usemao, “Fursa ziko kila mahali zimelala tu ovyo ovyo zikisubiri jicho la kuona zionwe”. Ndugu, najua muda mwingi umekuwa unafikiria ufanye kazi gani itakayokuletea kipato kizuri, tena ikiwezekana kwa muda mfupi. Hili sio wazo lako tu ni wazo la wengi. Inapofika wakati wa kuamua kuanzisha biashara au kuwekeza, shida inakuja ni biashara gani ufanye au ni kitu gani uwekeze. Kujiuliza namna ile sio dhambi, ni kawaida kabisa lakini nataka nikueleze kuwa mahali popote ulipo umezungukwa na fursa kibao. Kama hujaziona tatizo sio kwamba fursa hazipo tatizo ni macho yako hayazioni ila zipo.

Lengo langu ni
Mara nyingi nimekuwa mtu Wa semina kuelimisha maswala ya kilimo, ufugaji, ujasilia-mali nk.

Kwa wanao hitaji kujiunga na group la Ufugaji na Kilimo
Ila group litahusika na masomo tu ya kilimo na ufugaji tu
niandikie msg whatsapp nikuadd,
( no zangu ni 0673296942 )

Kwa maelezo zaidi yatapatikana ndani ya group.
KUUNDWA JUKWAA LA WAHITIMU WA DEGREE NA DIPLOMA NCHINI.
 
Back
Top Bottom