Recent content by Bobumikwara

  1. B

    Passport inachukua mda gani

    Ukiwa na viambatanisho vyote ni sh.50000, form 10000 na passport yenyewe kuiprocess ni sh.40000.
  2. B

    Passport inachukua mda gani

    Ukikomaa ndani ya wiki kama upo Dar,inategemea na ombi la safari.
  3. B

    Housegirl amtesa kinyama mtoto, arekodiwa kwa siri

    Mkuu naomba nitumie via whatsap so sad.
  4. B

    Jinsi ya kutuma fedha kutoka U.S.A kuja Tanzania

    Western Union hata Posta unaenda kutoa muhimu uwe na passport number za akutumiae.ila Money gram ndo rahisi zaidi.
  5. B

    Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    Umenena mkuu,always God is able.
  6. B

    Nifanye nini baada ya kufanya mazoezi

    Mkuu maji ya uvuguvugu ndio mazuri,alafu kupumzika inategemea na pumzi yako.
  7. B

    Selection UDSM 2014/2015

    Naomba nichekie na hii s1404/0046/2011
  8. B

    Naomba msaada tatizo la black screen kwenye laptop yangu

    Mkuu mi yangu ni aina ya SAMSUNG,iko fresh ila kuna kitu nashindwa kuelewa,huwa ikijaa betri niki-unplug mwanga unapungua,labda huwa kuna setting sijazifanya,7bu nikiwasha mwanga fresh charge ikiisha nikiunganisha adaptor pia mwanga fresh ila nikiunplug tu mwanga unafifia,msaada mkuu.
  9. B

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Mkuu unaingia wapi?, mi mwenyewe napitia huu uzi kwa umakini sana.Mungu atanisaidia oneday nikifly nisipate shida.
  10. B

    Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

    Mkuu umenifurahisha aisee.Volume nadhani ilikua mpaka mwisho kama unaamrisha gwaride.
  11. B

    Aponea chupuchupu kuporwa na majambazi, akimbilia uwanja wa ndege kujinusuru

    Ni hatari sana, hapo ni Mungu kamuokoa,bado wale wazee wa UNUNIO Pdidy.
  12. B

    America mchezo wa boxing unalipa sana?

    Kwa wale wapenzi wa boxing,hivi kule America huu mchezo wa boxing inaonesha unalipa sana,sababu unakuta machalii kuanzia miaka 6 wapo gym hasa hawa ndugu zetu black na wanajifua hasa. mimi mwenyewe namshukuru Mungu upepo wa elimu umenipitia vizuri kwa nilivyo struggle. na ningekuwa huko pia...
  13. B

    Kwa waliosoma Kigonsera Ruvuma

    Ilikua ukisikia anauaaaa..ni mwendo wa speed mabwenini.nakumbuka mshkaji wangu mmoja alikua nyerere,Balugu akaja dorm,jamaa alikua bwenini akakimbilia chooni.Ticha akamfuata kulekule,wakaenda dorm jamaa akavaa nguo wakaongozana mpaka ofisini,walipofika mlango wa ofisi akamwambia jamaa amsubiri...
  14. B

    Mungu ameisha fungua milango ya ajira

    Hakuna aliyemtumainia Mungu akaaibika,always keeping God first.
  15. B

    Anjela Chibalonza

    Mungu akusaidie ili ubadilike na hizo fikra zako.
Back
Top Bottom