Mkuu mi yangu ni aina ya SAMSUNG,iko fresh ila kuna kitu nashindwa kuelewa,huwa ikijaa betri niki-unplug mwanga unapungua,labda huwa kuna setting sijazifanya,7bu nikiwasha mwanga fresh charge ikiisha nikiunganisha adaptor pia mwanga fresh ila nikiunplug tu mwanga unafifia,msaada mkuu.
Kwa wale wapenzi wa boxing,hivi kule America huu mchezo wa boxing inaonesha unalipa sana,sababu unakuta machalii kuanzia miaka 6 wapo gym hasa hawa ndugu zetu black na wanajifua hasa.
mimi mwenyewe namshukuru Mungu upepo wa elimu umenipitia vizuri kwa nilivyo struggle.
na ningekuwa huko pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.