Anjela Chibalonza

Anjela Chibalonza

Mimi huwa nafikiria kuwa kwa kuwa kazi kubwa mbinguni ni kuimba basi huenda Mungu alionelea aongeze vipuri vya waimbaji katika kundi la waimbaji wa mbinguni akaona Angela na Sedekia watamfaa zaidi.
 
Una fikra kama zangu sababu yule yupo njema,anapiga mpaka backup mwenyewe,walikua ni level nyingine.alafu kama Anjela alikua anaimba kwa hisia sana mpaka unaguswa.namsikilizaga cku nzima hata nikipita sehemu nikisikia nyimbo zao napunguza mwendo.ringtone kwenye cm ndo usiseme..Kusudi la Mungu ni kubwa.
 
Yaweee ee uhimidiwe, uwaminifu wako unajulikana ,kwa mataifa yote ya ulimwenguuuu yaweee., umeumbaaa lakini hauku umbwaaa... na mwingine Nataka nitoke chini,toka chini kwenda juuu, chini kunamagonjwa ........

My favorite Gospel Jam of all time!
 
wewe ni mwema kwaaanguu..ni mwema kwangu!! wewe ni mwemaaa kwanguu.. Yeah angela ananibariki pia..
 
Huo wimbo mtaupenda sana....unagusa kwa kweli hata sie wapiga kilaji tunajirudi
 
Back
Top Bottom