Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

Me nlifanya internship kwa miezi 3 ktk kampuni fulani private then wakatangaza kazi nkafanya mpaka oral lakini hawakunipa japo nafahamiana na mabosi wote hapo. Nikaitwa kwenye taasisi moja ya serikali ambayo cmjui hata mfagizi ila nikafanya interview na kupata position kama ile ya kule private ila mshahara ni almost mara mbili ya kule private waliponitosa. Mwamini MUNGU atajibu maombi.
 
Ahahah kiukweli hazitofautiani.. Daahhhhh baya zaidi hao washikaji uliosoma.nao wakala shavu.. Ukiwa na matatzo hawapo tayari kukusaidia ingawa wakati mpo chuo ulikuwa mtu muhimu kwao hasa ktk masuala ya taaluma

haya yamenikuta sana mkuu upo sawa ila wakisikia unashavu wanaanza mbona kimya hatutafutani pindi unasota ukiomba msaada nikalenda rah
 
nimemaliza chuo mwaka jana, Binafsi cjapata usumbufu ktk kutafuta kazi, kikubwa nilicho kifanya ni kumtanguliza Mungu kkt kila hatua yangu, nilifunga nakuomba mara kadhaa nikimsihi Mungu anipe kazi,kwakweli Mungu ni mwaminifu amejibu maombi yangu, nimefanya interview moja tu na nasasa na kazi nzurii serikalini. Silaha kubwa ktk kutafuta kazi ni kumwomba Mungu, kwani anajibu. Nikwaneema na rehema tu
 
Japo bado sijapata kazi rasmi, nina ushuhuda wa kuwapa enyi watafutaji wa kazi kama mimi mja wa MUNGU. Kuna waajili wengine hapa nchini wanachangia kutufanya tuonekane kuwa tuna maisha magumu na ionekane kuwa tuna shida sana ya kupata kazi japo sio kwa wote, nakumbuka tar 1/8/2014 +255652198676 company X ilinihitaji kufika dar kwa ajili ya usaili wa Fertilizer Sales Person kwa bahati nzuri nikawaambia nipo nje ya dar kwa maana kwamba npo mkoani, nikasisitizwa kuwa nijitahidi nifike siku hiyo nikajipanga nikaamua kufunga kabiashara kangu hapa mjini ili nielekee huko dar kwa interview. Kitu Cha ajabu ni kwamba nilipoanza safari njiani walikuwa wakinipigia simu kuwa nmefika wapi, ile npo kimara tu, nikatumiwa sms kuwa wamearisha usaili wangu mpaka wiki inayofuata (nitapigiwa simu). Sikuwajibu nikasubiri mpaka niliposhuka kwenye basi ubungo, nikajaribu kuwasiliana nao lakini hawakunielewa kabisa na nikadiriki kuwaomba wanichangie japo nauli ya kurudia POLE SANA MKUU





Asanteeeee!!!!!!!!!!!!!
 
Haya mambo ya Ajira ni kumwachia Mungu pekee yake.
Siku zote ukitaka mafanikio mwachie Mungu awe ndio muamuzi wa mambo yako yote.

Mimi binafsi nilihangaika sana kutafuta ajira bila mafanikio.
Ndipo nilipomrudia Mwenyezi Mungu na kumlilia huku nikifunga na kuomba.

Kwa wakati huu wote nilianza kujiwekea akiba ya tshs 2000 killa siku. Baada ya miezi sita tu nilipata mtaji. Nikafungua kagrocery kangu. Kwa kweli mpaka sasa inanilipa vizuri sana.

Lango moja linapofunguka na mengine yanafunguka, hatimae nilipata kazi.

Ushauri kwa vijana, JIFUNZENI KUWEKA AKIBA NA NI MARUFUKU KUCHAGUA KAZI.

NAWATAKIA KILA LA HERI.
 
haya yamenikuta sana mkuu upo sawa ila wakisikia unashavu wanaanza mbona kimya hatutafutani pindi unasota ukiomba msaada nikalenda rah

Umeona ehhhh dahhh nakumbuka kuna mshikaji nilimsaidia sana chuo... Maana alielemewa na alikiri kuwa bila mimi sijui ingekuaje

haya tumekuja mtaani jamaa kapata shavu haraka... Basi kanisahau mpk nimtafute mimi kwa simu

tena smtmz anaweza kuniuliza nani mwenzangu?? aahhh daahhh

haya nikapata dharura kwenda kufanya usaili bahati mbya ukanikuta nikiwa patupu na inabidi nisafiri

nikasema ngoja nimcheki mshikaj.. Daahh akaniahidi kuwa atanisave kiasi flan cha fedha

basi imefika tarehe kumpigia simu hapokei na meseji hajibu...

Ahahahahahahah kiukweli tumwachie Mungu ulipo siku kazi zitapatikana tu... Tenda wema nenda zako
 
Umeona ehhhh dahhh nakumbuka kuna mshikaji nilimsaidia sana chuo... Maana alielemewa na alikiri kuwa bila mimi sijui ingekuaje

haya tumekuja mtaani jamaa kapata shavu haraka... Basi kanisahau mpk nimtafute mimi kwa simu

tena smtmz anaweza kuniuliza nani mwenzangu?? aahhh daahhh

haya nikapata dharura kwenda kufanya usaili bahati mbya ukanikuta nikiwa patupu na inabidi nisafiri

nikasema ngoja nimcheki mshikaj.. Daahh akaniahidi kuwa atanisave kiasi flan cha fedha

basi imefika tarehe kumpigia simu hapokei na meseji hajibu...

Ahahahahahahah kiukweli tumwachie Mungu ulipo siku kazi zitapatikana tu... Tenda wema nenda zako

Kweli kabisa mkuu. TENDA WEMA NENDA ZAKO..
 
Hivi ni kweli unaweza ukasota hivihivi maisha yako yote? Maana dah hali ni mbaya, mtaani pachungu sana:(
 
nakumbuka kuna jamaa alisota kitaa baba yake akaonga mil 2 t.r.a jamaa kapata kazi muda huu jamaa yupo uswiz anasoma kwao kajaza vogue kama 3 yani jamaa ana kadiploma yupo full sisi wenye mastaz alafu born touni here here tunakula msoto
 
wakati mwingine upo uchawi watu wabaya wanatutupia tusipate kazi maombi yanasaidia jamani nimeona kwa macho mdada mmoja alitupiwa mchungaji katunzi yuko viwanja vya sabasaba akamuombea sasa hivi uchawi umetoka naamini atapata kazi huyo mdada boss wake wa benki moja hv hapa dar alimtak kimapenz akamkatalia akaacha kazi kwa manynyaso mengi na kutamkiwa na boss kwamba nenda lakini utarudi kumbe alimtupia uchawi asipate jazi.
 
Haya mambo ya Ajira ni kumwachia Mungu pekee yake.
Siku zote ukitaka mafanikio mwachie Mungu awe ndio muamuzi wa mambo yako yote.

Mimi binafsi nilihangaika sana kutafuta ajira bila mafanikio.
Ndipo nilipomrudia Mwenyezi Mungu na kumlilia huku nikifunga na kuomba.

Kwa wakati huu wote nilianza kujiwekea akiba ya tshs 2000 killa siku. Baada ya miezi sita tu nilipata mtaji. Nikafungua kagrocery kangu. Kwa kweli mpaka sasa inanilipa vizuri sana.

Lango moja linapofunguka na mengine yanafunguka, hatimae nilipata kazi.

Ushauri kwa vijana, JIFUNZENI KUWEKA AKIBA NA NI MARUFUKU KUCHAGUA KAZI.

NAWATAKIA KILA LA HERI.

Mkuu kwenye ka glocery ulikuwa unauza pombe?
 
Back
Top Bottom