Naomba msaada tatizo la black screen kwenye laptop yangu

Naomba msaada tatizo la black screen kwenye laptop yangu

Davis chelsea

Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
93
Reaction score
10
Habari za hapa wakuu,

Nilishut down laptop yangu aina ya lenovo g500 nilipokuja kujaribu kuiwasha inawaka poa kila kitu kinafanya kazi hata ukiweka cd inazunguka vizuri lakin screen haionyeshi chochote (total black), nimejaribu soln hizi bila mafanikio, nimebadili memory na pia nimetoa bettry nikahold start button for 60sec then nikaplug power back na kuboot bila mafanikio.

Mwenye kuweza kutatua hili tatizo naomba msaada wakuu.
 
Habari za hapa wakuu,

Nilishut down laptop yangu aina ya lenovo g500 nilipokuja kujaribu kuiwasha inawaka poa kila kitu kinafanya kazi hata ukiweka cd inazunguka vizuri lakin screen haionyeshi chochote (total black), nimejaribu soln hizi bila mafanikio, nimebadili memory na pia nimetoa bettry nikahold start button for 60sec then nikaplug power back na kuboot bila mafanikio.

Mwenye kuweza kutatua hili tatizo naomba msaada wakuu.

Boot kwenye safe mode, ikikubali hapo tatizo itakuwa kwenye vga driver.
Restore system kwa tarehe ya nyuma ili kuondoa hilo tatizo.
 
Problem hapo ni-motherboard hizo motherboard za lenovo nimecheza nazo sana.ungesema upo pande gani nikufanyie repair faster.
 
Tatizo hilo huweza sababishwa na mambo mawili makuu.moja RAM haiko poa, itoe kisha irudishe baada ya dk 10 hivi, ila utoe batery kwanza, kama bado una tatizo , invetor ambayo ipo chini ya kioo hapo kazi yake ni kukipa kioo umeme imefeli. amini hivyo.ukiwa na shida zaidi ni pm
 
mtumiaji
jamaa hiyo lenovo screen yake haina inveter ni LED type. unajiita fundi au mbangaizaji!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mi yangu ni aina ya SAMSUNG,iko fresh ila kuna kitu nashindwa kuelewa,huwa ikijaa betri niki-unplug mwanga unapungua,labda huwa kuna setting sijazifanya,7bu nikiwasha mwanga fresh charge ikiisha nikiunganisha adaptor pia mwanga fresh ila nikiunplug tu mwanga unafifia,msaada mkuu.
 
jamaa kawaida unapochomeka Adapter voltage zinaongezeka ndio maana unaoneka mwanga ktk screen unaongezeka. ila ukichomoa adapter mwanga unapungua kwa sababu umeme utakaotumika ni wa kwenye batry. hiyo sio tatizo ila ni kawaida kwa Laptop zote. kama unataka kuongeza mwanga bonyeza fn + up key. 0716-844978
 
Habari za hapa wakuu,

Nilishut down laptop yangu aina ya lenovo g500 nilipokuja kujaribu kuiwasha inawaka poa kila kitu kinafanya kazi hata ukiweka cd inazunguka vizuri lakin screen haionyeshi chochote (total black), nimejaribu soln hizi bila mafanikio, nimebadili memory na pia nimetoa bettry nikahold start button for 60sec then nikaplug power back na kuboot bila mafanikio.

Mwenye kuweza kutatua hili tatizo naomba msaada wakuu.

nikiconnect kwenye monitor ya desktop inapiga kazi fresh
 
nikiconnect kwenye monitor ya desktop inapiga kazi fresh
kioo cha monitor kina video graphic accelerator ambayo ni independent that why imekubali, tatizo la hiyo machine ni motherboard, processor ya display ndiyo ina matatizo.
 
Back
Top Bottom