Kuna aina mbali mbali za vituo vya polisi, kuna class A police stations, class B police stations na class C police stations..kila aina ya kituo cha polis hapo kina sifa zake, kwa mfano class A hua ni vile vituo ambavyo vipo kati kati ya jiji na hua vinafanya kaz masaa 24, vile vile class B ni...
Ha ha ha ha haaaa..huu uzi umenifurahisha aisee, hasa pale ulipopiga u turn kali nakumat na kujichanganya na wahind ukasepa...ha ha ha haaaaa..noma kweli mshkaj wanguu!!
Ww unayejiita baba "h" hujui ulisemalo..et wanajeshi hawana kazi!!..nani kakwambia?, ulinzi wa mipaka ya nchi nani anafanya??...kila mtu ktk sekta aliyopo ana umuhimu wake na sio kusema kaz ya flan ni bora kuliko flan..you better think propery kabla hujaanza kubwabwaja mambo usiyo na uhakika nayo..
Kabla ya kuropoka na kutoa mitusi ya nguoni mambo ya kujiuliza hapa ni kwamba..huyo mwanafunz ana umri wa miaka mingapi?, km ni chini ya miaka 18 bas jamaa ashitakiwe kwa kosa la ubakaji hata kama dent alikubali kwa hiari yake...kinacho nipa utata kama bint atakua na zaid ya miaka 18 jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.