MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Askari yeyote(jwtz, magereza, polisi,jkt) akiwa ktk gwanda popote awapo tatizo ama uhalifu ukitokea raia wote tutategemea muongozo na msaada wake, Hawa viumbe WaPo kazini 24/7 na wamejitoa kwaajili ya usalama wetu.
Mbona ufahamu wetu uko chini kiasi hicho jamani!!!!!!!!!!
Tangu lini jwtz wakashughulika na uhalifu mtaani? Anajua hata kuandika mashtaka? wakihusika ni sawa na wewe unavyofanya kama raia mwema na unaweza kuamua kumchoma moto tu. Polisi peke yao ndo wamefundishwa kudhibiti uhalifu ndani ya nchi. Ndiyo maana wanashitakiwa kwa matumizi ya nguvu kuliko kiasi. JWTZ na magereza hawana mafunzo hayo ila ni tabia mbovu ya utawala kudhani kwamba askari wa JWTZ anaweza kamata mtu mtaani.