Recent content by Bob v

  1. B

    Wakuu msaada wenu kuhusu hii laptop yangu

    Daaah tatizo hilo nimelipata kwenye MacBook yangu nimeamua kuitupia kabatini tu
  2. B

    NBA 2017/2018 Season Special Thread

    OCK ni balaaah combination ya Westbrook, Paul G and Camello n Hatari but Carvaliers n mziki mwingine Joh
  3. B

    Elimu ya UDSM ni mbovu kiasi hiki!! Mtu ana PHD haelewi maana ya Economic Benefit.

    Haibisha ndio nn mkuu! Aibisha ndio kiswahiliii fasaha.
  4. B

    Aende chuo kipi kati ya UDSM na SUA

    SUA ndio kitu gani!? Wewe unaanzaje kusoma chuo kina jina la mtu! Sokoine sijui, Sebastian madudu gani Mara kairuki....Damn haven't you heard bout Harvard, Oxford All those r cities nenda Chuo kikuu UDSM usiende hicho.
  5. B

    First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

    Y hatn UD!? Ukipata nafasi ya kufanya kazi na graduate from vyuo mbalimbali ndio unajua kuwa. The home of interlectures ina maana gani!
  6. B

    Usiri huu ni kurudia kosa lilelile la usiri juu ya Bombadier

    Nchi ya wakurupukaji tusubiri kukurupuliwa na Acacia.
  7. B

    Barua ya diwani wa CHADEMA aliohamia CCM Arumeru aomba kurudi CHADEMA

    Hio barua vipi! SLP iko empty halafu nakala kwa haiwekwi chini huyo diwani wa wapi (Empty head)
  8. B

    Jifunze hapa: Namna nilivyoanza mpaka nilipofikia. Unaweza kupata kitu

    Daaaaah sisi wengine Boom lilikuwa linaishia Maisha club na Bills.
  9. B

    Ishu ya bombardier haiwezi kubadilisha upepo

    Hio ndio maana Multipartism! Haya mambo Wapinzani wamekuwa wakipiga sana kelele bungeni lakini wakaishia kuitwa Tumbili. Lissu ameshauri mambo mengi sana lakini serikali sio sikivu.......#Dawa ya Deni kulipa... ukimwaga mboga tunatoboa sufuria.
  10. B

    Sarakasi na majigambo ya wahitimu wa UDSM

    UDSM-The home of interlectures.....nyie vyuo vyenu c mnadahili mpaka Div eleven.
  11. B

    Orodha ya watumishi wa serikali wasiokamilisha vyeti nchi nzima

    Ikumbukwe kwamba uhakiki wa watumishi wa wizara mbalimbali unategemea kukamilika tarh kumi so expect that list to chain up.
  12. B

    Kafa kaoza kwangu lakini muathirika wa UKIMWI

    Daaaaaah hio imekaaa vibaya sana yan sana coz ukimkataaa n Kama unamnyanyapaa na ikimkubali pia mziki
  13. B

    Dalili ya mwanamke anayekutaka kimapenzi ni ipi?

    Nyongeza atakuwa anakukonyeza konyeza na akikuona na Gashi mwingine anamaind.
Back
Top Bottom