Nina laptop yangu Hp jana ilizima gafla kuiwasha inawaka ila haitoi mwanga kwenye screen pia feni inazunguka kwa kasi sana. Msaada tatizo linaweza kuwa ni nini?
Nina laptop yangu Hp jana ilizima gafla kuiwasha inawaka ila haitoi mwanga kwenye screen pia feni inazunguka kwa kasi sana. Msaada tatizo linaweza kuwa ni nini?
KAMA FENI IMESHAANZA KWENDA KASI NA KUPATA MOTO....KAUZE TU KWA MTU UMSHIKISHE AU KWA FUNDI KAMA SPEA... GHARAMA ZAKE ZITAKUGHARIMU SANA..ILIWAHI KUNITOKEA NIKAIUZA HUKOO....
joto ndio tatizo lililoua computer yako, ss hapo moja ya components zilizo karibu na heat sink(chuma kinachopokea joto la processor na g.card kisha kulipeleka likapulizwe nje na feni) inaweza kua imekufa ambazo zinaweza kuwa ni
-processor
-graphics card
-io chip
-na chips zingine zilizo karibu na joto
cha msingi mpelekee fund aliyekaribu yako aifanyie uchunguzi kupata majibu sahihi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.