James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,529
- 16,233
Hata hivyo UDSM inamaabara nzuri sana haya wanafunzi wa SUA wanaendaga kwa practical kama sikosei ...the same to hao was ARDHI wanaendaga sana ktk kitivo cha uhandisi.
Kuhusu sheria ya mzumbe kuna mwaka Fulani kuna mtu alishawai kukataliwa kujiunga na masters degree ya sheria akiwa na GPA ya juu sana ya mzumbe ilikuwa story sana hiyo miaka ile kwa
Kuhusu sheria ya mzumbe kuna mwaka Fulani kuna mtu alishawai kukataliwa kujiunga na masters degree ya sheria akiwa na GPA ya juu sana ya mzumbe ilikuwa story sana hiyo miaka ile kwa