Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Nipo stendi hapa natafuta usafiri niende shemeji yangu asanteh kwa taarifaShemu unatafutwa kule ujue

Nipo stendi hapa natafuta usafiri niende shemeji yangu asanteh kwa taarifaShemu unatafutwa kule ujue

Mkuu huna bahatiNdege mjanja hunasa kwenye tundu bovu..nikiwa advance nilitokea kumkubali sana msichana mmoja mrembo haswaa..(mixer muirak na mmanyara).
Mimi nikiwa form 6 yeye form 5 nikijaribu kumfuatilia mpaka nikafikia stage natumia gia ya kumfundisha physical geography ili nitumie hiyo opportunity but it was failed. Cha ajabu na kustaajabisha alikuja kuliwa na teacher wa field kutoka udom tena darasani kwenye meza. (Ikawa bonge la scandal but the good things it was well solved by head master.
Baada ya kufika chuo nikiwa second year naye akapangiwa hapo hapo bahati nzuri (God is not athuman) nikaendelea na procedures za kumfukuzia maana alikua anakaa in campus while I was stayed off campus.
Nikiwa kwenye hizo processes about 5-6 months nikasikia kapewa ujauzito na SHAROBARO waliyekua nae first year.
So sad.
Kiundani siwezi lkn wengi wao ni viburi na dharau ajili ya mtukukio wa uzuri waounaweza elezea zaidi kiundani
HA! HA! HA!Wenye urembo uliotukuka hahaha
Wengine ni maamuzi yao kuwa single mothers
Hunter kwani huwaonagi kwenye nyuzi zinazohusu single mothers?? Nikiwataja hapa patachafukaHA! HA! HA!
Hunter kuna wanawake wanataka kuwa masingle mother???![]()
![]()
Watake radhi aiseeh
Sie hatuoi masister duu,hao ni mboga mbadala tuNaunga mkono hoja wapo wengi sijui wamezalishwa na kina nani na kuwaacha,na je wameenda kuoa wanawake wengine hawa wanawaachia kina nani?
Na binti yako atakuwa mbadala.Sie hatuoi masister duu,hao ni mboga mbadala tu
Tatizo ni wanaume wanaozaa nao.
Angalia wasikuwekee kamati maana n jeshi kubwa hunterHunter kwani huwaonagi kwenye nyuzi zinazohusu single mothers?? Nikiwataja hapa patachafuka