Wakuu,wanabodi,wanajamvi,wanajf
Lugha ya kiswahili ni tamu sana hasa pale unaposoma riwaya au mashairi matamu tena yenye ufundi toka kwa mafundi wa kiswahili.
Upande wa kiingereza kuna riwaya nyingi na mashairi mengi yenye ufundi sana.
Upande wa lugha yetu ya kiswahili cjawahi kusikia;riwaya au...
Ni udomo zege uliopitiliza,kutafuta dem au mchumba hapa JF baati mbaya hata mtu hujamuona.Ivi uko mtaani kwenu hakuna wanawake;hizi ndo hasara za kuangalia porn kila unapoangalia ndio zegee inatengenezwa.
Enyi madomo Zege acheni uo mchezo mtakuja dondokea pua.Ni mtazamo tu[emoji125] [emoji125]...
Kiba hawezi kusurvive katika game bila kuwa na bifu na mond hawezi kutoa nyimbo kali bila kiki.mond kaona kuwepo na bifu hakumsaidii kaamua aipotezee zaidi anamnufaisha kiba tu,Natamani bifu hii iishe ili tuwapime kwenye kazi zao,nani katoa mkwaju mkali nani ni KIKI master.
ni vema kuwa na vituo vingi vya redio vinavyosikika mikoani but we need creativity tumechoka kusikiliza vipindi vilevile,vilivyobadilishwa majina tu na watanzania kusupport tunaua creativity.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.