Vodacom Tanzania na intaneti spidi ya kobe

Kweli kabisa, mimi najuta sana kupoteza pesa zangu kwa kununua gb nyingi ambazo hazina faida....
 
Tatizo la internet inaweza kuwa location.. kwangu inafanya vizuri.! airtel inanizingua na nilinunua bundle kubwa.!
hakuna sehemu tunaweza kuwashtaki
 
Tatizo la internet inaweza kuwa location.. kwangu inafanya vizuri.! airtel inanizingua na nilinunua bundle kubwa.!
hakuna sehemu tunaweza kuwashtaki
Tatizo lipo tena kubwa, siyo location hata kama huko mlimani city makao makuu ya voda au tegeta au city centre, au mbeya au mwanza bado tatizo ni lile lile, mimi nipita huko kote sijaona mabadiliko, kasi ni ya mwendo wa kinyonga balaa.
 
Vodacom inainternet nzur sana inategemea na eneo ulilopo
 
Voda kwangu iko murua airtel ndo inazingua sana afu ndo tigo sometime network haipo
 
Vodacom kwa sasa wamekuwa na intaneti yenye spidi ndogo kuliko mitandao yote Tanzania..Wakuu atakaeuona ujumbe huu awafikishie wazee hawa wa hisa.
Nadhani ni location mkuu, mimi yangu huku inatwanga kama nyegere porini:D
 
Mimi nipo Dsm. Ila kwa maeneo ambayo nimepgia net moja wapo ni Manzese. Nilikuwa nimefanya usb tethering kutoka katika simu ya tecno c9 to PC. Nimedownload kitu chenye ukubwa wa 72MB ndan ya dakika chache maana download speed ilikuwa inasoma 3mbps per second.
 
Tatizo lipo tena kubwa, siyo location hata kama huko mlimani city makao makuu ya voda au tegeta au city centre, au mbeya au mwanza bado tatizo ni lile lile, mimi nipita huko kote sijaona mabadiliko, kasi ni ya mwendo wa kinyonga balaa.
Afadhali Kobe na Kinyonga ambao wakiona hatari huweza kuongeza kasi. Hawa jamaa kasi yao ni ya Konokono Mzee. Majigambo mengi ya 4G si chochote si lolote.
 
Kumbe tupo wengi, need liunga bando la 2000/= 3GB

Ila nimepata hasara , bora tu niendeleee na halotel speed kali japo MB zinafyekwa
 
Vodacom kwa sasa wamekuwa na intaneti yenye spidi ndogo kuliko mitandao yote Tanzania..Wakuu atakaeuona ujumbe huu awafikishie wazee hawa wa hisa.
Labda maeneo ya kwenu, lakini voda ndio mtandao kwenye spidi kulinganisha na mwingine.
 
mbona vodacom wapo vizuri mm nadhani ninyi i wale wa aina fulani wa dr digital ambao mmeandika 4g ktk line zenu harafu mnawandanganya watu acheni unafiki vodacome 4g is best for internet in tanzania
 
Back
Top Bottom