Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 413
Vee na htlist ilikuwa boomb.....nakumbuks drank ya Kendrick inatoka tu nikaiskis kwanza kwenye hitlist dash noma sanaaa wamrudishe vee na hitlist mi nitamlipa mshaharaAcha tu. Hitlist walikua wananipa updates za movies,na ngoma zao za mbele zote zilikua brand new. Abby na Jimmy Kabwe walikua wananikonga nyoyo sana. Siku nilipofall in love ilikua siku Vee Money kamuhoji AliKiba,alafu wakawa wanaimba live. I could pay for Hitlist to be back, Vee Money na Joey I really miss those guys.