Wabaya wa 'chorus' bongo

Wabaya wa 'chorus' bongo

Hakuna mkali wa chorus bongo kama gnako
 
G-nako yuko vizurii kwa kweli kuna msanii mwingine akiitwa steve rnb yuko vizuri japo hasikiki kwenye game
 
Wakuu kwa mimi hawa ndio wabaya wa chorus bongo kuanzia wa kwanza mpaka wa 5

1. Sir Nature - msitu wa vina
2. Belle 9
3. Chege Chigunda
4. TID
5. Q Chilla/ Q Chief
Mkuu umemsahau dully a.k.a misifa
 
Back
Top Bottom