Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,246
Mkuu ila i really hate watu wanaoona wenzao wana matatizo au hawajaolewa sababu ya kitu flan wananiboa mno so nkimuona wa hvyo lazma povu limuhusuHuhuhu mbona povu mkuu au umeguswa!?
Mkuu ila i really hate watu wanaoona wenzao wana matatizo au hawajaolewa sababu ya kitu flan wananiboa mno so nkimuona wa hvyo lazma povu limuhusuHuhuhu mbona povu mkuu au umeguswa!?
Miaka 24?, kuwa mpole na uvute subra. Muda bado upo.Habari zenu wana JF,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.
Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.
Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.
Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.
Thanks.
Eti kiswahili nacho kinawashinda watu, mweeAmesema umri usizidi 45 akimaanisha 45 yrs ni maximum. Ukiwa 18-45 waweza chukua mzigo. Sasa apunguze vp tena?
Hizi ID Mpya Mpya ninaziogopa sana naweza kukutongoza Mara ya pili ukaniona Malaya bure
Mtaani Ni wapi Na humu Ni wapi.Acha kuishi kizamani.Natamani JF uongozi mnipe uongozi bila Hata kulipwa kazi Yangu kuwaban Watu kama Hawa.Hii Dunia ya Leo hujui kama humu Ni Sawa Na mtaani.Ndo mana Kuna mijadala ya kujenga mbalimbali.Badilika ndugu Yangu au Rudi Shule Bado una muda.Ukiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Kaseva Bado mshamba hivyo.Sio Kweli Ni uamuzi. Hakuna.msichana asiyetongozwaa.kaamua tuYaani sikupatii picha ukiwa chuo uliringia wanaume vibaya sana na kujidai wewe ndo wewe, sasa hakuna hata wa kukwambia hi
Maskini polee
nashkuru nduguHongera kwa kujitunza, Mungu in wako atakupa Mme mzuri kwa tabia na unayemtaka. Pamoja na ndani humu, mwambie Mungu wako hitaji lako, atakusikiliza na kukujibu