Recent content by Bijang

  1. Bijang

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba ana miaka 39, ilihali Hemed phd ana miaka 44, ni mimi tu ndio sijaelewa au

    Nashindwa KUA-LEWA PhD kamzidi VP
  2. Bijang

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Samaki anaekula samaki wenzake hawezi kukua
  3. Bijang

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Kelele nyingi, we tupe dawa/mtaalam wako
  4. Bijang

    JamiiForums Tanzania Kero: Messages za mikopo kutoka taasisi za mikopo

    Halotel mukuje
  5. Bijang

    JamiiForums Tanzania Kero: Messages za mikopo kutoka taasisi za mikopo

    Habari wakuu, Kumekuwa na kero kubwa ya SMS (ujumbe mfupi WA maneno) kutoka kwa hizi taasisi za mikopo, kama Bayport, Fanikiwa, Platinum n.k Yaani kila siku iendayo Kwa Mungu iikifika saa nne asubuhi lazima nipokee sms, yaan nishaweka akilini ikifika hiyo muda lazima nipokee sms, tena number...
  6. Bijang

    JamiiForums Tanzania Gawio la mitandao ya simu ni kero tupu

    Habari zenu Wanabodi? Natumai mpo vizuri, Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200. SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu...
  7. Bijang

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Uchawi over
  8. Bijang

    JamiiForums Tanzania Njia ya kutengeneza milioni 100 bila mtaji... ila inataka moyo wa chuma

    Ushakula visungura, hiyo hypothesis yako Nani alishafanyia KAZI ikajibu
  9. Bijang

    JamiiForums Tanzania Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

    Adhabu zibadilishwe iwe ni kupokwa points, lakini pia najiuliza TFF wanashindwa nn kuwa na wale Stewart WA kuwaongoza yanga kwa ulazima had kwenye chumba chao walichopangiwa au TFF wanazifaidi hizi fain
  10. Bijang

    JamiiForums Tanzania HOJA Washereheshaji (MCs) hii tabia ya kuchukua video au picha bila idhini na kuzipost kwenye kurasa zenu mnaona ni sawa?

    SASA si umeenda kwenye matukio ya kijamii, wenzako wanapublicise wapate trends ya BIASHARA za, kwani hukujua BIASHARA matangazo, kama HUTAKI kuonekana ungejifungia ndani, wanaokushauri ushtaki, ingekuwa kakuoiga picha guest then kakupost Hapo ndo ungesema, lkn kwenye sherehe ni watu...
  11. Bijang

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Ajira Mpya Kada ya Afya Halmashauri ya Mkalama Wamepewa Fedha za kujikimu Wakati Walimu ajira mpya hatujapewa hata Mia. Inaumaaa

    Mbona kila siku ni walimu Tu na afya, mbona sikisikii polis, fire,uhamiaj mahakaman,wilayan,mkoan secretary,dereva,ps,tanroad, tarura, jeshi,wahasibu, engineers,etc Ifike mahal kuwwe na siri
  12. Bijang

    JamiiForums Tanzania Tabia za mabinti/wanawake wa Kisukuma

    Slow learners
Back
Top Bottom