Mimi ininitesa sana, ilifika point Nina 117kg na kimoja hakiendani na na huu uzito, Nilikuwa na tatizo la wingi wa damu, Dr akanambia huu uzito hauenda ni na urefu yyan ilikuwa umefika kwenye RedZone,
Nashukuru Mungu, nilianza diet asbh sili kitu zaidi ya maji ya moto yenye ndimu, mchana the...