Mkopo wa HADHINA kwa Watumishi: Naomba uzoefu wa Namna ya kupata Mkopo huu na Changamoto zake

MoroGent

Member
Jan 10, 2018
79
311
Wakuu,

Naamini mko salama kabsa.

Naomba kuuliza, mkopo kwa watumishi wa serikali kutoka hazina kuu huwa unapatikanaje na mtumishi afanye nini kuupata?

Nimesikia baadhi ya watumishi wakiwa wanazungumzia kuwa huu ni mkopo mzuri sana na riba yake ni ndogo ukilinganisha na mikopo ya watumishi benki za kawaida hizi za biashara (NMB, CRDB na ect).

Lakini changamoto ni kuwa huwa inapatikana kwa wakubwa au ngazi za juu wa watumishi au kwa connection, je kuna ukweli?

Mtu afanyeje ili kufaidika na hii fursa.

Uwanja ni wenu Wazoefu.

Nawasilisha.
 
Wakuu,

Naamini mko salama kabsa.

Naomba kuuliza, mkopo kwa watumishi wa serikali kutoka hadhina kuu huwa unapatikanaje na mtumishi afanye nini kuupata?

Nimesikia baadhi ya watumishi wakiwa wanazungumzia kuwa huu ni mkopo mzuri sana na riba yake ni ndogo ukilinganisha na mikopo ya watumishi benki za kawaida hizi za biashara (NMB, CRDB na ect).

Lakini changamoto ni kuwa huwa inapatikana kwa wakubwa au ngazi za juu wa watumishi au kwa connection, je kuna ukweli?

Mtu afanyeje ili kufaidika na hii fursa.

Uwanja ni wenu Wazoefu.

Nawasilisha.
Nazani ulimaanisha mikopo kupitia hazina na sio hadhina,kule wana dubwasha linaitwa hazina saccoss wanakopeshana kupitia uko,kuna no hii +255683865660 wameweka in case of any inquiry
 
Mbona mikopo hiyo ipo wazi, zamani ilikuwa inamizengwe Sana,ila kwa sasa Iko poa,maana hazina wameanzisha mfumo maalumu wa hazina portal, so Kila mmoja anaweza kuomba, nawapongeza kwa kuanzisha mfumo huo. Faida ya mkopo wa hazina ni kuwa pesa Haina riba, utakatwa 1% ya bima na 3% process loan fees. Mkopo wa miaka 6, na Haina top up kama mikopo ya benk. Kwa maelezo zaidi embelea ofisi ya afisa utumishi aliyekaribu na wewe.
 
Mbona mikopo hiyo ipo wazi, zamani ilikuwa inamizengwe Sana,ila kwa sasa Iko poa,maana hazina wameanzisha mfumo maalumu wa hazina portal, so Kila mmoja anaweza kuomba, nawapongeza kwa kuanzisha mfumo huo. Faida ya mkopo wa hazina ni kuwa pesa Haina riba, utakatwa 1% ya bima na 3% process loan fees. Mkopo wa miaka 6, na Haina top up kama mikopo ya benk. Kwa maelezo zaidi embelea ofisi ya afisa utumishi aliyekaribu na wewe.
Shukrani sana mkuu. Ngoja nijaribu kufuatilia
 
Back
Top Bottom