Ha haaAnakuchosha,kisarawe hakuna ardhi ya laki 1.
Mwika Kilimanjaro kuna ardhi inapatikana kwa bei ya kutupwa.Mwaka 2022! Nilisafiri kwenda Lindi kikazi. Katika ile project tulikuwa tunazunguka wilayani na kwenye vijiji ndani ndani huko.
Nilikuja kufika sehemu Ruangwa kuna vijiji tulienda huko ardhi ni bei ya kutupwa.
Ekari inauzwa elf 10 hapa kama unanunua serikali ya kijiji (ukitaka nyingi)
Kama unataka chache moja au mbili wananchi wanauza elf20
Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!
Uko seriously mkuu kibiti c hapo maeneo ya kimanzi chanaBungu Kibiti Acre 1 = 400,000
Na hii ni bei ya makampuni ya wauza viwanja..
Pata picha bei ya wazawa atakuuzia bei gani
Bungu ipi kaka? Msoro? Nyamisati? Nyanjati? Mjawa? Au mahege?Bungu Kibiti Acre 1 = 400,000
Na hii ni bei ya makampuni ya wauza viwanja..
Pata picha bei ya wazawa atakuuzia bei gani
Kisarawe ni miongoni mwa Wilaya kongwe hapa nchini, tangia enzi za Utawala wa Muingereza.Kwanini Kisarawe haiendelei? Wilaya zote za Pwani zinakuwa kwa kasi kasoro Kisarawe! Kulikoni?
Na utapeli upo wa kutosha, unadhani unanunua kwa bei poa kumbe umeliwa.Lindi mbali ....zama kibaha, chalinze, msata , bagamoyo... maneneo bei poa sana tena yapo karibu na Road na huduma zote muhimu zipo
kwa 300,000 unaweza kupata pori lililopimwaAnakuchosha,kisarawe hakuna ardhi ya laki 1.
Wacha kukaza fuvu njoo ofisin ya kijiji Manerumango muone mtendaji .Anakuchosha,kisarawe hakuna ardhi ya laki 1.
Mkuu fika Manerumango ofisin ulizia sehemu inaitwa Konde kwa ofisini Kama una kiasi Cha milioni Tano wanakupa heka 50 ufanye kazi.kwa 300,000 unaweza kupata pori lililopimwa
Uchawi overKwanini Kisarawe haiendelei? Wilaya zote za Pwani zinakuwa kwa kasi kasoro Kisarawe! Kulikoni?
Ngoja nikapigie simu ka Petero nisikie kanasemaje?Wacha kukaza fuvu njoo ofisin ya kijiji Manerumango muone mtendaji .
Utapewa pori lako la hekari 50 kwa milioni Tano tu. Joanah ardhi Ina rutuba dongo jeusiii mazao yote ya horticulture na cerial yanafanya vizuri sana
Kuna changamoto kidogo za ngedere
Ni deadend hakuna barabara kuu ya kuunganisha dsm na mikoa.Kwanini Kisarawe haiendelei? Wilaya zote za Pwani zinakuwa kwa kasi kasoro Kisarawe! Kulikoni?
Ni zamani au?Lindi mbali sana
Hapo kisarawe ukipitia serikali ya vijiji heka moja unapata kwa laki moja kuanzia hekari 50 na kuendelea
kwa 300,000 unaweza kupata pori lililopimwa
Ngedere sio changamoto ndogo Mkuu.Wacha kukaza fuvu njoo ofisin ya kijiji Manerumango muone mtendaji .
Utapewa pori lako la hekari 50 kwa milioni Tano tu. Joanah ardhi Ina rutuba dongo jeusiii mazao yote ya horticulture na cerial yanafanya vizuri sana
Kuna changamoto kidogo za ngedere
Ukiweka kijana wa kulinda unakua umezalisha ajira kwa mtanzania mwenzakoNgedere sio changamoto ndogo Mkuu.
MwanzaMwaka 2022! Nilisafiri kwenda Lindi kikazi. Katika ile project tulikuwa tunazunguka wilayani na kwenye vijiji ndani ndani huko.
Nilikuja kufika sehemu Ruangwa kuna vijiji tulienda huko ardhi ni bei ya kutupwa.
Ekari inauzwa elf 10 hapa kama unanunua serikali ya kijiji (ukitaka nyingi)
Kama unataka chache moja au mbili wananchi wanauza elf20
Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!