Taratibu zote zimefanyika ila bado kiza
Tunabadilisha so hatuachi upungufu popote ,hatutaki tulipwe,tumekubaliwa pande zote ,,tumewasilisha barua zote na docs nyingine kwa katibu tawala(arusha na manyara) na wameshatuma huko tamisemi
Bado nn?
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Hivi mmeshindwa kutupa majibu ya uhakika kuhusu uhamisho?
Au bado mnahakiki?na kwa sasa mnahakiki nini?hiyo ni wizara ya kitaaluma namba moja kauli na matamko yenu mbona kama kisiasa hivi?is it delaying tactics au tuiteje?
habari ya uhamisho ikoje?
Nna maswali tusaidiane
1.hivi uhamisho wa ndani ya mkoa nao ni wa kubadilishana?
(Utaratibu wake ukoje)
2.je ukishapata wa kubadilishana nae na barua zenu zikishapitishwa pande zote mkaziwasilisha kwa makatibu tawala kila mmoja wenu,,nn hufuata?nini mtumishi anaweza kufanya kuharakisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.