proudly mrs sam
Member
- Aug 9, 2017
- 97
- 85
Kwa mwalimu yeyeto aliepo dar anafundisha sekondari alietayari kuhamia Arusha mjini anatangaziwa zawadi ya 1,300,000tsh ikiwa atakuwa tayari kubadilishana vituo vya kazi.
Hakuna utapeli kama una lengo la kutapeli ishia hukohuko tutaandikishina kwa mwanasheria na MALIPO ni baada ya mambo kutick.
Wajulishe na ndugu zako
Karibuni walimu.
UPDATE:
Kama utaona dau halitoshi mta negotiate ila pia ukiongeza dau uwe tayari kulipwa kwa installments.
UPDATE:
NAONGEZA DAU MILIONI 2 MEZANI UNAPEWA CASH BAADA YA MAMBO KUTICK
Hakuna utapeli kama una lengo la kutapeli ishia hukohuko tutaandikishina kwa mwanasheria na MALIPO ni baada ya mambo kutick.
Wajulishe na ndugu zako
Karibuni walimu.
UPDATE:
Kama utaona dau halitoshi mta negotiate ila pia ukiongeza dau uwe tayari kulipwa kwa installments.
UPDATE:
NAONGEZA DAU MILIONI 2 MEZANI UNAPEWA CASH BAADA YA MAMBO KUTICK