Recent content by BBN

  1. BBN

    Yuko wapi Emmanuel Buhohela?

    Nami nimekuwa nikijiuliza swali hilo hilo lkn kimya kimya sana.......cjui amepewa kz white house......
  2. BBN

    CCM sasa waanza kuumbuana

    Serikali iko kwenye peak ya kukusanya.......wavumilie watalipwa !!!
  3. BBN

    Hisa za NMB zimeshuka kwa 50% ndani ya miezi 12

    Nimependa huu uzi maana nafuatilia kwa umakini nikaanze kununua.
  4. BBN

    Pikipiki za honda zinauzwa

    Vipi Honda XL cc 125 Japan......mnazo? Tsh.ngapi?
  5. BBN

    Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

    Hawa c Zari na Wema original , ni baadhi ya wadandiaji wanataka kuuza tu..........
  6. BBN

    Unasoma kitabu gani sasa hivi?

    Think Big.....Ben Curson
  7. BBN

    Hebu cheka kidogo

    So.......what !!
  8. BBN

    Askofu Pengo asema Muhimbili inatosha

    You better research out kwa nn alisema hata hapo panatosha..........yawezekana kbs kuna pressure iliyompress mpaka akatoa kauli hyo. Kwa ufupi yapo magonjwa likuki yanayoweza kutibika hapa nyumbani lkn wapo viongozi wetu wachache wanaougua ugonjwa huo yet wanakimbilia nje.....hiyo tabia haitoi...
  9. BBN

    Picha ya ukutani inatoa "jasho"

    Nyumba hyo iko maeneo yenye joto sana......so km iko kwenye frame lzm hali hyo itokee..........hata zile picha zinazohifadhiwa kwenye album huwa zinapata unyevunyevu.......!!
  10. BBN

    Nimeoa na ninaishi na mke mwenye VVU kwa miaka 7

    Very Touching Passage.......God be Our Healer.......!!
  11. BBN

    Duuuh, kweli wanawake wengine!

    Huyo shemu si mwaminifu tena......hata ukimushit hawezi acha tabia chafu....cha kufanya stay away from her na umpeleke Guest ya karibu...then kesho mpe nauli arudi Dom.....akiendelea mjulishe mdau......ni vzr kuvunja uhusiano na huyo shemu kuliko rafiki yako..u will remain mshindi na mfalme km...
  12. BBN

    Mada ya kufungia mwaka 2015

    Huoni km ulichelewesha mwenyewe......huruma iwe kwako au kwa wengi wananchi wanaoteseka.......vuta subira kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake........!!
Back
Top Bottom