You better research out kwa nn alisema hata hapo panatosha..........yawezekana kbs kuna pressure iliyompress mpaka akatoa kauli hyo. Kwa ufupi yapo magonjwa likuki yanayoweza kutibika hapa nyumbani lkn wapo viongozi wetu wachache wanaougua ugonjwa huo yet wanakimbilia nje.....hiyo tabia haitoi...
Nyumba hyo iko maeneo yenye joto sana......so km iko kwenye frame lzm hali hyo itokee..........hata zile picha zinazohifadhiwa kwenye album huwa zinapata unyevunyevu.......!!
Huyo shemu si mwaminifu tena......hata ukimushit hawezi acha tabia chafu....cha kufanya stay away from her na umpeleke Guest ya karibu...then kesho mpe nauli arudi Dom.....akiendelea mjulishe mdau......ni vzr kuvunja uhusiano na huyo shemu kuliko rafiki yako..u will remain mshindi na mfalme km...
Huoni km ulichelewesha mwenyewe......huruma iwe kwako au kwa wengi wananchi wanaoteseka.......vuta subira kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake........!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.