Unasoma kitabu gani sasa hivi?

Unasoma kitabu gani sasa hivi?

Mimi nimeanza kusoma kitabu cha Prof Karim Hirji kiitwacho Growing up with Tanzania
 
Wasalaam
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,unaweza kushare tukakisoma wote na tukakijadili kuongeza maarifa,nita ku pm unitumie kwa email na mimi nitakutumia nilivyokwisha visoma nawe upate ujuzi pia binafsi napendelea zaidi non-fiction books na kwa sasa nasoma MODERN ROMANCE by AZIZ ANSARI nipo page ya 102 View attachment 316897
Narudia kwa mara ya tatu kusoma "Journal of the discovery of the source of the Nile by John Hanning Speke". Mtafikiri mi kichaa ila hii journal kila nikisoma nakuta najifunza kitu kupitia kila hatua aliyopitia speek kwenye safari yake. Edition niliyonayo ni ya 1996. Nina kingine ninasoma wakati ninapokuwa sitaki kwenda kwenye mambo ya Speke nasoma Tip & Run by Edward Paice utaona jinsi watu walivyopoteza maisha for the sake of power kati ya wajerumani na majeshi shirika . Hii edition ya 2007.
 
Mwanye hiki kitabu anisaidie wadau Forensic nurse : the role of The nurse in law enforcement by serita stevens.
 
Getting to YES

Kutakusaidia sanaa katika mambo ya "negotiations " hasa kwenye biashara
 
The making of the Modern Economics,
Lives and Ideas of great acient economic thinkers and how their inputs have changed the world today.
Kirefu lakini huwezi kutoka kama ulivyokuwa kabla hujaanza kusoma
 
The making of the Modern Economics,
Lives and Ideas of great acient economic thinkers and how their inputs have changed the world today.
Kirefu lakini huwezi kutoka kama ulivyokuwa kabla hujaanza kusoma
roger that mkuu
 
mimi nina rich dad and poor daddy ya kayosaki.....mwenye soft copy za huyu jamaa plz anisaidie
 
Back
Top Bottom