Recent content by barwani

  1. barwani

    Baraka da Prince umeanza kuzingua na haya mashauzi ya kike

    Ndio kawaida,wasanii wa mikoani wakishafika Bongo DSM Tanzania na wakavua chupi mbili tatu za wadada wa Bongo muvi basi dharau huanzia hapo,utaondoka bila kuaga,ustaarabu,kauli nzuri na ushirikiano na wenzio hauuzwi..
  2. barwani

    Jamani Azam TV tuhurumieni kwa kutuachia Local Channels

    Hii habari ya local channel sijui ilikua danganya toto,maana hata azam tv usipolipia utabaki kutazama TB ccm tu..
  3. barwani

    Nataka niwe maarufu jamani.. Nifanyeje??

    Toa kauli za kichochezi dhidi ya serikali...
  4. barwani

    TRA, TAKUKURU wamtaja anayeiba mil7-8 kila dakika, huyu hapa..

    Mohammed Yusuh Ally ni nani? Mamlaka ya Mapato TRA imemtaja huyu bwana kua ndie alietajwa na Mh Raisi JPM kuhusika na uhamishaji wa pesa kiasi cha Tsh mil 7 kwa dakika 1,Yafuatayo kama raia wa kawaida ningependa kuyajua: Ana wadhifa gani ndani ya nchi? Biashara anazomiliki ni zipi...
  5. barwani

    Nahitaji ufumbuzi wa tatizo la stress

    Ukizingatia haya Utaishinda hio hali: 1. Jitahidi Usiji-isolate,jichanganye na marafiki na watu wanaokuzunguka kubadilishana mawazo na soga za hapa na pale. 2. Jitahidi kua bize na vishughuli vya hapa na pale,zisiwe shughuli za kuchosha mwili. 3. Kama ni Mwanafunzi,jitahidi usomaji wako uwe ni...
  6. barwani

    Majigambo ya vijana wa Arusha

    Upo sahihi,na tena usiombe chalii wa arusha akajua kua wewe unatokea DSM ataanzisha ushindani usio na tija,kila kitu atataka aweke ushindani..
  7. barwani

    Watoto wa Dar wanakosa nidhamu

    Ukiona gari imeshajaa na hakuna seat ya wewe kukaa subiria ambayo haijajaa ili upate nafasi ya kukaa..kila mtu ana haki ya kukaa ndani ya daladala
  8. barwani

    Kituko: Afunga ndoa na simu yake ya mkononi(smartphone)

    Wanajamvi,dunia hii haishiwi vituko na maajabu... Baada ya Jana kusikia kituko cha jamaa mmoja aliekua akijihamishia fedha kila baada ya dakika kadhaa,fedha ambazo ukipiga mahesabu vizuri kwa mwaka mzima unakaribia kuipata bajeti ya nchi. Hiki ni kituko kama sio maajabu Ila kama fasihi...
  9. barwani

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    Figisu figisu zipi hizo?
  10. barwani

    Hivi Mwanza nalo Jiji?

    Ndg na wewe kumbe umeliona hili,watu wa ukanda huu ni mashuhuri kwa kusifia kitu kisichoakisi sifa stahiki,naongea coz ninaishi nao,wengi wao hawajapata bahati ya kutembea kwenye miji ilioendelea na kustaarabika,hawana exposure.. Nawashauri watembee wajifunze ili waache kuipa sifa zisizo stahili...
  11. barwani

    Mshahara wangu Sh. laki 2 kwa mwezi, nimedunduliza ikafika Milioni 1; niitumieje kama mtaji?

    Ndg kabla sijakupa ushauri kwanza unatakiwa ushitakiwe kwa kuitesa familia yako... Take home 200,000/= familia ya watu wanne unawezaje ku-save 1m!!.. Yaani mpaka huruma nikivuta picha jinsi maisha yalivyokua wakati huo wewe unaficha pesa ili zifike 1m,.hili tukio napendekeza liingizwe kwenye...
  12. barwani

    Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Umemuuliza swali zuri sana,watu wengine sijui ni uwezo mdogo wa akili au ni kutokujua swali/mada inahtaji majibu gani?! Swala la Raisi kutoa kauli zenye ukakasi na zinazohitilafiana na sheria na taratibu za nchi ni aibu kwa nchi mbele ya mataifa mengine,raisi anapaswa awe na staha na kauli...
  13. barwani

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    Hv ni kweli serikali yetu haiwezi kuhahakiki watumishi waliopo na kuajiri wapya at the same time??Mathalani yote yakafanyika kwa pamoja kuna athari zipi za kimfumo au kiutendaji? Mwenye uelewa please..
  14. barwani

    Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Nimeshapata na unaelekea kuisha..
  15. barwani

    Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    Wadau habari,kwa watumishi wa serikali jioni ya leo ni neema kwani serikali imewahi kulipa mishahara kwa mwezi huu,ila neema hii imekua chungu kwa wale walionza kuonja mishahara mipya miezi ya nyuma kulingana na vyeo walivyopanda. Kama mwezi April au May ulilipwa kulingana na daraja/cheo...
Back
Top Bottom