Nataka niwe maarufu jamani.. Nifanyeje??

Umaarufu hautafutwi ndgu yangu unakuja wenyewe ukiutafta hauji kama huamini anza tuone kama hujajitangaza umekufa halafu ukafufuka upate kk
 
Kama wewe sio maarufu mpaka sasa, basi una tatizo la nyota. By the way, kamuulize demu wa Sugu, aka Faidha alipataje media attention. Au cheki na Bibi money watakupa msaada.
 
Mkabidhi mkeo kwetu wanajamii forum tujisevie then tutakutaja sana na utakuwa maarufu haswaa. Zingatia ushauri!
 
Umaarufu wa humu au wingi wa likes ndio utawaachia urithi kizazi chako? Utawarithisha wanao wingi wa "Likes" zako ulizopata humu?

Umaarufu wa fake id utakupeleka wapi?

Fanya kazi kijana utengeneze life yako na future ya kizazi chako, achana na fikra za kimasikini,
Siku zinakwenda mbele wala hazitorudia nyuma,amka zinduka before it's too late!
 
Hahahhaah umenichekesha sana wewe,fanya hivi kua kama mimi tu utaongelewa sana utatajwa sana ,utajadiliwa sanaa, cc Nyani Ngabu kuja hapa umpe umaarufu huyu mtu
 
Mke Bwaxx wazeiyaa
(nilivosema wazeiyaa nikakumbuka zile mixtape za Virus za mzee sugu wakat anawaponda Mawingu FM RADIO ya wafu)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo ( Simaanishi Sports HQ ya 93.7 FM kwa Maulid Kitenge)

Sasa ni hivi mazee....
Main topic ni kuwa
NATAKA NIWE MAARUFU HUMU JF.

Niwe famous kama kina
Faizafoxy
Mshana JR (mzee wa story za uongo)
The Boss
Nyani Ngabu
Heaven sent
Mwajuma mchawi
Mzizi mkavu (mzee wa nguvu za kiume, kila uzi wa PE na nyeto humkosi, cjui jamaa ana PHD ya haya mambo)

Tuendelee....
Myname is myname..
Na yule mdada kweny avatar yake kuna mdada kachuchumaa kavaa kichupi halaf kashika bunduki..

Na wengne wengi..

Sasa jamani nitumie njia gani??

Maana mwanzo nilisema nitumie njia ya MATUSI...
Yaan kila mara na post threads za MATUSI tuu...
Nafungua kila uzi then na comment MATUSI tuu bila kujali topic Husika..
Tatizo nikawa napigwa BAN..

Nishaurini jaman Namie nataka watu wawe WANANI TAJA TAJA HUMU..

CJAWAHI KUONA mtu kanitaja humu..
Ushaur tafadhal....
Toa kauli za kichochezi dhidi ya serikali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom