barwani
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 238
- 160
Wadau habari,kwa watumishi wa serikali jioni ya leo ni neema kwani serikali imewahi kulipa mishahara kwa mwezi huu,ila neema hii imekua chungu kwa wale walionza kuonja mishahara mipya miezi ya nyuma kulingana na vyeo walivyopanda.
Kama mwezi April au May ulilipwa kulingana na daraja/cheo ulichopanda ina maana mwezi huu umerudishwa kwenye mshahara wa cheo cha zamani...
Naomba kuwasilisha,tupo kwenye kipindi cha mpito,uvumilivu in silaha kubwa itakayotuvusha hapa tulipo..
Kama mwezi April au May ulilipwa kulingana na daraja/cheo ulichopanda ina maana mwezi huu umerudishwa kwenye mshahara wa cheo cha zamani...
Naomba kuwasilisha,tupo kwenye kipindi cha mpito,uvumilivu in silaha kubwa itakayotuvusha hapa tulipo..