barwani
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 238
- 160
Wanajamvi,dunia hii haishiwi vituko na maajabu...
Baada ya Jana kusikia kituko cha jamaa mmoja aliekua akijihamishia fedha kila baada ya dakika kadhaa,fedha ambazo ukipiga mahesabu vizuri kwa mwaka mzima unakaribia kuipata bajeti ya nchi.
Hiki ni kituko kama sio maajabu Ila kama fasihi haikutumika kukiwasilisha kwa hadhira..
Leo nimesoma kituko kingine,huko L.A Marekani jamaa kavuta jiko,ameagana na ukapera kwa kuiioa simu yake kipenzi ya mkononi(smartphone)
Jamaa anapenda sana na kuthamini vitu vyake ndilo somo niloling'amua,lakini si kwa kiasi cha kufunga ndoa na simu,unless otherwise awe na matatizo ya kiume au kisaikolojia..
Naomba kuwasilisha,karibuni tujadili kwa pamoja..
Baada ya Jana kusikia kituko cha jamaa mmoja aliekua akijihamishia fedha kila baada ya dakika kadhaa,fedha ambazo ukipiga mahesabu vizuri kwa mwaka mzima unakaribia kuipata bajeti ya nchi.
Hiki ni kituko kama sio maajabu Ila kama fasihi haikutumika kukiwasilisha kwa hadhira..
Leo nimesoma kituko kingine,huko L.A Marekani jamaa kavuta jiko,ameagana na ukapera kwa kuiioa simu yake kipenzi ya mkononi(smartphone)
Jamaa anapenda sana na kuthamini vitu vyake ndilo somo niloling'amua,lakini si kwa kiasi cha kufunga ndoa na simu,unless otherwise awe na matatizo ya kiume au kisaikolojia..
Naomba kuwasilisha,karibuni tujadili kwa pamoja..