Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

hapa hakuna ukweli jamaa katunga tu wajanja tunajua peleka vijiweni story zako zakitoto upuuz huu.
 
Kijana mwezangu tulikuwa tuna mpango wa kufungua biashara pamoja ila mwisho wa siku akajifanya mjanja akachukua mtonyo wote akafungua biashara kwa jina lake akanikana. Nilijiona fala maana nilikuwa sina uthibitisho wowote kama tulichangia baishara, nilimuamini kupita maelezo coz tulitoka mbali.

Kwakweli aliniacha vibaya, kiaina nikashukuru Mungu, nikasema siendi kwa mganga wala vyombo vya sheria, nitatumia akili yangu ya kuzaliwa kumkomesha. Nimemfanyia figisufigisu kwenye biashara zake sasa wateja wote wamemkimbia. Biashara 1 amefunga hii nyingine mda si mrefu ataifunga vilevile maana anauza kimoja kimoja.

Jamaa asomeki kwa sasa afya mgogoro amekuwa mtu wa mawazo mawazo hawara amemkimbia amebaki na mkewe tu kwenye shida zake. Wakuu nimefanya vibaya kumharibia mtu kama huyu kumbuka aliniacha vibaya, nimefanya vibaya kumharibia?
Mimi kuna boya mmoja alinisaliti kwenye ishu nyeti hatari akafurahi kwa muda. Aisee niliumia sana nikaamua kumlia timing nikaja kumpoka demu wake! Pumbavu zake alilia kama mtoto
 
Safari moja huanzisha nyingine.

Safar ya kisasi haina dead end.

Subiri mapigo yake akijua mbaya wake
Kweli kabisa. Mambo haya ni ya kusamehe tu. Hapo ni mwendo wa visasi hadi ktk vizazi vyao
 
Kijana mwezangu tulikuwa tuna mpango wa kufungua biashara pamoja ila mwisho wa siku akajifanya mjanja akachukua mtonyo wote akafungua biashara kwa jina lake akanikana. Nilijiona fala maana nilikuwa sina uthibitisho wowote kama tulichangia baishara, nilimuamini kupita maelezo coz tulitoka mbali.

Kwakweli aliniacha vibaya, kiaina nikashukuru Mungu, nikasema siendi kwa mganga wala vyombo vya sheria, nitatumia akili yangu ya kuzaliwa kumkomesha. Nimemfanyia figisufigisu kwenye biashara zake sasa wateja wote wamemkimbia. Biashara 1 amefunga hii nyingine mda si mrefu ataifunga vilevile maana anauza kimoja kimoja.

Jamaa asomeki kwa sasa afya mgogoro amekuwa mtu wa mawazo mawazo hawara amemkimbia amebaki na mkewe tu kwenye shida zake. Wakuu nimefanya vibaya kumharibia mtu kama huyu kumbuka aliniacha vibaya, nimefanya vibaya kumharibia?
Figisu figisu zipi hizo?
 
wateenden mema wanaowaudhi.
roho inakuuma kwa ulilolifanya si jema sema umekuja kutafuta ujasir wa comment za wenye akil kama zako ujifariji. JIANDAE KWA HUKUMU MUNGU ATAKAYOKUPA.
 
nimepata nguvu ya ajabu ya kusonga mbele, we ulitaka nimuangalie akijagamba na kunufaika baada ya kunitapeli na kuniweka juani?? hakuna kitu kama hiko dunia ya sasa. ukija.mba wenzio wanaharisha!!
Waddau wanataka kujua umemuharibia kwa style gani wacha kuleta POROJO na MBOYOYO mingi.
 
Kijana mwezangu tulikuwa tuna mpango wa kufungua biashara pamoja ila mwisho wa siku akajifanya mjanja akachukua mtonyo wote akafungua biashara kwa jina lake akanikana. Nilijiona fala maana nilikuwa sina uthibitisho wowote kama tulichangia baishara, nilimuamini kupita maelezo coz tulitoka mbali.

Kwakweli aliniacha vibaya, kiaina nikashukuru Mungu, nikasema siendi kwa mganga wala vyombo vya sheria, nitatumia akili yangu ya kuzaliwa kumkomesha. Nimemfanyia figisufigisu kwenye biashara zake sasa wateja wote wamemkimbia. Biashara 1 amefunga hii nyingine mda si mrefu ataifunga vilevile maana anauza kimoja kimoja.

Jamaa asomeki kwa sasa afya mgogoro amekuwa mtu wa mawazo mawazo hawara amemkimbia amebaki na mkewe tu kwenye shida zake. Wakuu nimefanya vibaya kumharibia mtu kama huyu kumbuka aliniacha vibaya, nimefanya vibaya kumharibia?
hujamuharibia mkuu,umemrudisha alipostahili kuwepo..
 
Back
Top Bottom