Watoto wa Dar wanakosa nidhamu

Watoto wa Dar wanakosa nidhamu

Baba yangu alikuwa akiniambia zamani nilipokuwa mdogo, kama nakwenda sehemu na wadogo zangu basi mimi ndio natakiwa kuhakikisha wanapata huduma nzuri, kuwaandalia chakula, kuwanawisha mikono, kwa sababu wao ni wadogo hawawezi kufanya hayo, kadri watavyokuwa Ndio wanapata kuwahudumia wadogo zao pia
 
Upo sahihi kwa upande wako kwa maana jamii imetukaririsha mdogo anatakiwa amuheshimu mkubwa,mf mdg kumsalimia mkubwa na ukienda kinyume na hapo utaambiwa huna adabu!ila usahihi n kuwa kama amekukuta n chaguo lako kumpisha au kutompisha,hata kwenye kutoa salam,mkubwa akikuta umekaa mahali lzm aanze kukusalimu ww then ww ndo umpe heshima yake.
 
Ukitaka kuhakikisha hili, panda basi za mwendokasi.

Utawakuta bila aibu hata kidogo wamekaa kwenye viti na hawataki kuwapisha watu wazima. Yaani mtoto mdogo kabisa kakaa kwenye siti bibi yake kasimama na kuegemea mlingoti.

Sijui wanatoka katika familia zipi ambazo nidhamu ni msamiati.
Ukiona gari imeshajaa na hakuna seat ya wewe kukaa subiria ambayo haijajaa ili upate nafasi ya kukaa..kila mtu ana haki ya kukaa ndani ya daladala
 
Hahaaa mkuu what about LIFO(last in first out)
teh teh teh

Mkuu LIFO hutumika kwa vibaka wanaotoboa madirisha ya watu.

Yule anayebaki nje ya eneo la tukio haingii, kikinuka ndiye wa kwanza kutimua mbio, sasa wewe uliyejitia wa kwanza kimbelembele kutangulia, lazima udakwe tu.
 
Ukitaka kuhakikisha hili, panda basi za mwendokasi.

Utawakuta bila aibu hata kidogo wamekaa kwenye viti na hawataki kuwapisha watu wazima. Yaani mtoto mdogo kabisa kakaa kwenye siti bibi yake kasimama na kuegemea mlingoti.

Sijui wanatoka katika familia zipi ambazo nidhamu ni msamiati.
nao ni binadamu,tangu wanawake na wazee waichague ccm mwaka jana sitokaa kumpisha mwanamke au mzee kwenye kiti iwe kwenye gari au sehemu yoyote ile HAPAKAZI TU
 
Back
Top Bottom