Umefikiria? Maana isiye kichwa chako kitupu,but anyway CHADEMA kuna demokrasia kali. Atapatikana tu ingawa huyu Rais wetu wa sasa hajazeeka kama unavyodhani
Kuna vitu vingi si kimoja tu,ila KIFO ndio hofu kuu. Pamoja na hiyo uoga wa kutokuwa na mali/utajiri hasa kwa vijana upo,hofu ya kukataliwa na kuhisi huthaminiki vipo pia. Lakini usiogope-unamwamini Mungu? Then hakuna kuogopa.
Nafikiri jamaa hajatumwa ila kasema ukweli usio wa uhakika saana,unajua kwa nini? Shule za kata ziliasisiwa na Ben wa ukweli sema tu Lowasa alishadadia na akafanya kwa sifa lakini si kwa kiwango. Kiutendaji aliwafanya wakurugenzi kuwa active tofauti na sasa Mtoto wa Mkulima hana lolote,akiulizwa...
Tuzo? Tatizo la huyu 'maembe' anafikiri kabla ya kusema,sasa hayo matuzo yooote aliyotaja ukiacha hili la maleria ni upuuzi mtupu! Eti tuzo na makao makuu ya ukombozi Afrika ili iweje? WEZI WAKUBWA MAEMBE,KIWETE NA WOOTE mnaotumia kodi za wananchi kisha mnawahadaa na tuzo feki MLAANIWE MAJOKA YA...
Hongera kwa huo utafiti ndugu yetu,ckjua kama Europe inaanza na kuishia na e. Anyway hii issue ni majina na yalitokea katika hali ya arbitrariness hakukuwa na mpango wowote...umeona eeh!
Ulitaka apendelee kwao hadi matokeo? Tuache unafiki waziri huyu hahusiki na matokeo hayo ila hao walimu na mfumo mzima wa elimu Tanzania. Mbona shule kibao tu zenye majina ya wakubwa huwa hazifanyi vizuri leo hii unamkomalia Mwandosya? Angeacha kuisapoti mngechooonga sa kasaidia bado tena...
Alichosema Muft na Sheikh Mkuu ni murjerb na sahihi kabisaa,masuala ya kudeal na personal issues kwenye masuala ya msingi sio. Wanachokosea tu ni kwamba seminary ni shule za kikatoliki tu si za kilutheri,kianglikana au kiislam. Elimu ni muhimu kwa kuwa na Walimu imara...,Good teaching is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.