Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
Kwa kuanzia wamefanya ziara bwawa la mtera na baadaye watakuwa na kikao cha kamati DSM kwa wiki nzima baada ya kumalizika kwa mkutano wa Bunge.
ziara hizo hazisaidii wala kubadili hali halisi... inahitajika kutekeleza mipango ya kudumu kama thermal power nk
ziara hizo hazisaidii wala kubadili hali halisi... inahitajika kutekeleza mipango ya kudumu kama thermal power nk