Recent content by barclays

  1. barclays

    Ushahidi wa Kauli ya Marehemu Jumbe Kufitiniwa na Maalim Seif; Mahojiano na Gazeti la Mtanzania 2002

    Mbona unalazimisha kitu bila ya ushahidi?itakuwa ndio wale wasomi uchwara tunaowakataa
  2. barclays

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Kiongozi nitajuaje kununua red garnet?sababu kuna sehem zipo nyingi ila naogopa kununua sababu sijui.na pia kuna sehem zinatoka green tomarine kama kuna la kunisaidia niaadie ili nijue jinsi ya kununua.
  3. barclays

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Kama kweli uko nayo mm ninayetajiri yupo moçambique
  4. barclays

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Suala la kuzuiwa mipira kati kwa jana ilikuwa ni lazima sababu yule dogo aliyetoka leicester alifanya kazi ya ziada na pia ni m'bishi sana na mwepesi.ila bado tunahitaji kwenye umaliziaji kiukweli kuna weak kidogo
  5. barclays

    Seif Shariff Hamadi agoma kumpa mkono wa salamu Rais Dkt. Shein!

    Lete ushahidi sio bla bla
  6. barclays

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwa mawazo yako ila kiukweli ivanovic kajituma sana leo .kwangu mm nampa pongezi.pia chelsea inaonekana wapo na nguvu zaidi mwaka huu kuliko msimu uliopita
  7. barclays

    Kilimo cha mbaazi, natafuta mbegu

    Funguka kiongozi tupe siri ni penye soko zuri au kama una namba ya whatsapp nipe tuwasiliane
  8. barclays

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    2:1 kombe darajaniiiiii mwaka huu.
  9. barclays

    Namna ya kuangalia waliosoma text yako katika whatsapp groups

    Mkuu naomba msaada jinsi ya kuanzisha mada.(nikitaka kuleta uzi niingie sehem gani?)msaada tafadhali
  10. barclays

    Dubai kujenga Hotel yenye msitu wa mvua

    Usisahau na kamata kamata ya "uchochezi"ni sheeeeedah
  11. barclays

    Usikate tamaa katika maisha

    Asante kiongozi lkn mhhhh "KILA NIKIPATA UFUNGUO WA MAISHA NAHISI KUNA BWEGE ANABADILISHA KITASA" kazi na naijua ila nakisa nguvu ya kufanya kazi kwa kweli ila kuanzia kesho nitajitahidi kufata ushauri wako.big up sana
  12. barclays

    Usikate tamaa katika maisha

    PRINCE ni kama umeyaona maisha yangu yalivyo.mhhh yaaani mm ni mmoja ya watu ambao tayari nimekaribia kukata tamaa kabisa ya kufanikiwa kimaisha.nimepoteza 90%ya nilivyokuwa navyo.na ulichoandika ndio kinachonipata kwa sasa.kwa kweli umenigusa sana kwa 100% hii news.asante pia kwa ushauri...
  13. barclays

    Tabia ya wanasiasa kupenda kunuukuu vitabu vya dini siipendi

    Kama kiongozi mmoja anaitwa ma.ka.mb.a yaani anapenda kweli ila wengi tunaichukia kweli.sababu anatafsiri kwa kile anachojisikia yeye
  14. barclays

    Kilimo cha mbaazi, natafuta mbegu

    Bei ya mbaazi dar ikoje?msaada tafadhali au wapi zinauzika bei mzuri zaidi?
  15. barclays

    Marehemu Karume ndani ya uso wa Rais Magufuli

    Yaaani nyie watu mnatuchekesha wakati tumenuna .big up babk
Back
Top Bottom