Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,464
http://millardayo.com/dubah45/#respond
Baada ya mji wa Dubai kuwa kwenye headline za majengo marefu duniani, hivi karibuni Dubai itazidi kuwa eneo la kuvutia zaidi duniani ambapo zimetolewa picha za muonekano wa Hoteli ya kwanza duniani itakayojengwa Dubai na itakuwa na msitu wa mvua. Hoteli hiyo imepangwa kufunguliwa mwaka 2018 ikiwa na beach ya kutengeneza na miti ambayo itakuwa ikitoa ukungu.
NB: Hivi sisi tumeachwa Dunia kwa miaka mingapi? nadhani tuko nyuma zaidi ya karne 2 au zaidi,maaana hivi sasa bado tupo kwenye kuchangia madawati mashuleni
Baada ya mji wa Dubai kuwa kwenye headline za majengo marefu duniani, hivi karibuni Dubai itazidi kuwa eneo la kuvutia zaidi duniani ambapo zimetolewa picha za muonekano wa Hoteli ya kwanza duniani itakayojengwa Dubai na itakuwa na msitu wa mvua. Hoteli hiyo imepangwa kufunguliwa mwaka 2018 ikiwa na beach ya kutengeneza na miti ambayo itakuwa ikitoa ukungu.
NB: Hivi sisi tumeachwa Dunia kwa miaka mingapi? nadhani tuko nyuma zaidi ya karne 2 au zaidi,maaana hivi sasa bado tupo kwenye kuchangia madawati mashuleni