PETER 233
Member
- Sep 1, 2013
- 38
- 67
Fuata hatua zifuatazo:
1.Najua unajua kuwa ukimtumia mtu text ktk inbox na akaisoma hupiga tiki mbili zenye rangi mkolezo.
2.Lakini ukituma ktk group hupiga tiki moja tu.
Sasa basi njia nyepesi kujua post yako imesomwa na wangapi ,unapaswa kufanya kifuatacho:
1.Anza kwa kupost,post yoyote ktk group lolote.
2.Subiri hadi itakapo piga tiki moja.
3.Upande huo huo wa tiki kwa maana upande wa kulia mwa post yako,tumia kidole gumba kugandamiza kama unataka kuifuta, yaani ikandamize moja kwa moja hadi option za kufuta,kufoward n.k zitokee
4.Option zikitokea relax kisha ktk hizo option angalia option yenye mduara ulio na herufi ai/(i) katikati basi ibonyeze hiyo option yenye mduara wenye herufi (i) katikati.
5.Sasa angalia hapo palipo andikwa "read by"utaona list ya member waliosoma post yako ktk group,tena utaona hadi muda halisi ambao kila member alipokuwa akisoma post yako.
1.Najua unajua kuwa ukimtumia mtu text ktk inbox na akaisoma hupiga tiki mbili zenye rangi mkolezo.
2.Lakini ukituma ktk group hupiga tiki moja tu.
Sasa basi njia nyepesi kujua post yako imesomwa na wangapi ,unapaswa kufanya kifuatacho:
1.Anza kwa kupost,post yoyote ktk group lolote.
2.Subiri hadi itakapo piga tiki moja.
3.Upande huo huo wa tiki kwa maana upande wa kulia mwa post yako,tumia kidole gumba kugandamiza kama unataka kuifuta, yaani ikandamize moja kwa moja hadi option za kufuta,kufoward n.k zitokee
4.Option zikitokea relax kisha ktk hizo option angalia option yenye mduara ulio na herufi ai/(i) katikati basi ibonyeze hiyo option yenye mduara wenye herufi (i) katikati.
5.Sasa angalia hapo palipo andikwa "read by"utaona list ya member waliosoma post yako ktk group,tena utaona hadi muda halisi ambao kila member alipokuwa akisoma post yako.