Recent content by Bacron F

  1. B

    Mh. Lema - Mawaziri hawapo bungeni jioni

    Vichwa vya pazi ni bora vikajiuzulu aiseeeeee maana tumechoka
  2. B

    Kurudi kwa Lowassa?

    We nawe ni gamba tu! Akili zile zile tu za kasuku
  3. B

    Zitto kuunguruma Kigoma kuanzia Disemba 21

    Nimecheka sana aiseeeeeeeeeeeeeeeee
  4. B

    Jinsi ya kuepuka kuibiwa gari au vitu ndani ya gari lako

    Likizo bado wiki mbili? Maana form 1 - 111 wanasumbua humu ndani kwa uelewa wao mdogo
  5. B

    Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

    We nawe jinga tu kwani SLAA HAWEZI? We ni gamba la ccm
  6. B

    Nimetukanwa na mke wa jirani yangu!!!

    Kama vp mpotezee tu ama anapenda kulia uroda nn?
  7. B

    Mizengo Pinda akwama kwenye foleni Ubungo-Kibo lisaa lizima, usiku!!

    Bora angekwamia hata porini akaliwa na simba
  8. B

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    Safi sana wananchi wa mwanza haki imetendeka kwa Mabina.
  9. B

    Picha: Wafuasi wa CHADEMA zaid ya 500 Singida warudisha kadi kwa Prof. Lipumba

    Kama nilivyosema hapo awali shida yako kubwa nadhani inaweza kuwa elimu si kitu kingine maana bado haujitambui ndiyo maana unaishabikia ccm kweli we una akili timamu? Capacity yako ya kufikiria iko chini ya kiwango aiseeeeeeeeeeee!!!!!!
  10. B

    Picha: Wafuasi wa CHADEMA zaid ya 500 Singida warudisha kadi kwa Prof. Lipumba

    Mleta mada ni mpuuzi tu hana nia njema na Taifa letu ushabiki wa kishamba kama huu hauleti maana ila hata elimu yake kiduchu inaweza changia hali kuwa vile
  11. B

    Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

    Hapo ndipo nazid kuipenda chadema kwa ujasiri wao, hakika yanibidi kumtafuta mlinzi wa kadi yangu ya chadema maana viongozi wa juu wako makini ile mbaya
  12. B

    Ndege ya Precision Air yapasuka matairi yote manne huko Arusha!

    Hata kama angeondoka sioni hasara yoyote kama alishindwa cheo kidogo kikubwa atawezaje? Namshauri 2015 agombee uenyekiti wa kijiji
Back
Top Bottom