Kama nilivyosema hapo awali shida yako kubwa nadhani inaweza kuwa elimu si kitu kingine maana bado haujitambui ndiyo maana unaishabikia ccm kweli we una akili timamu? Capacity yako ya kufikiria iko chini ya kiwango aiseeeeeeeeeeee!!!!!!
Mleta mada ni mpuuzi tu hana nia njema na Taifa letu ushabiki wa kishamba kama huu hauleti maana ila hata elimu yake kiduchu inaweza changia hali kuwa vile
Hapo ndipo nazid kuipenda chadema kwa ujasiri wao, hakika yanibidi kumtafuta mlinzi wa kadi yangu ya chadema maana viongozi wa juu wako makini ile mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.