Kurudi kwa Lowassa?

Kurudi kwa Lowassa?

Piga ua the new PM is Asha - Rose Migiro ambaye alishindwwa UN ikabiri arudi nyumbani mapema lkn kwa CCM is material thing!
 
Sio siri, Lowasa hakamatiki kwa sasa, na kila mtanzania anajua hilo.

It is now turning to one man race....

Lakini sidhani kama kuna sababu ya msingi ya kumshinikiza waziri mkuu ajiuzuru
nilijua wagonjwa wa akili watamuunga mkono Lowassa kwa gharama ya akili zao teke
 
Japo waswahili wanasema ya Mungu mengi lakini nasema kurudi kwa lowasa sio ya Mungu.........Mungu hawezi kurudisha kwenye madaraka nyeti namna hiyo lijitu lililojitengenezea kampuni feki yeye kikwete na rostam na kuwaibia watanzania tsh. 152milioni kila siku na ambazo anatutambia sasa kwa kujipitisha huku na kule.....Tatizo ni kuwa lowasa anajitahidi kutumia shida na matatizo ya watz. Nijuavyo mm tukishika madaraka the hague inamngojea na ikiwa itatokea akawa tena w/mkuu natafuta nchi nyingine ya kuishi
 
Piga ua the new PM is Asha - Rose Migiro ambaye alishindwwa UN ikabiri arudi nyumbani mapema lkn kwa CCM is material thing!

Kwa kupitia jimbo gani? La Magogoni halitoi PM, soma katiba.
 
hakuna sababu ya pinda kuondoka bado anafaa lowasa nafasi yake haipo.
 
Dalili zote zinaoonesha kuwa kilio cha wabunge kutaka Pinda ajiuzulu na hivyo Baraza la Mawaziri livunjike lina dalili moja kubwa; Lowassa's comeback. Sidhani kama kuna mwanasiasa mwingine yeyote ambaye anaweza kupata kuungwa mkono na wabunge wa CCM kama Lowassa. Kurudi kwake itakuwa ni kupata second chance na kujipanga vilivyo kwa ajili ya 2015. Kama siyo Lowassa ni mbunge gani mwingine wa CCM kutoka majimbo ya kuchaguliwa anayeweza kupata support na heshima ya kuwa Waziri Mkuu? Haitakuwa mara ya kwanza kwa Waziri Mkuu kurudia kiti chake mara ya pili.

Yetu macho.

Ndoto za Mwanakijiji. Kuna mtu niliwahi kusoma humu anasema eti, "Huyu MMM na Pasco ni wazee wa bahasha".
 
Sio siri, Lowasa hakamatiki kwa sasa, na kila mtanzania anajua hilo.

It is now turning to one man race....

Lakini sidhani kama kuna sababu ya msingi ya kumshinikiza waziri mkuu ajiuzuru

We kichwa box si bora ungekaa kimya, eti kila mtanzania anajua, haya makampeni yenu ya kijinga yalituingiza mkenge tukamchagua jk ona tunavyosulubika, jk hajui afanye nini wapi saa ngapi amebaki kuchota hela zetu kwa njia ya posho kila siku safari.

Narudia tena wewe kichwa box, kakabidhi rambirambi kwa mjane wawangosi RIP.
 
Dalili zote zinaoonesha kuwa kilio cha wabunge kutaka Pinda ajiuzulu na hivyo Baraza la Mawaziri livunjike lina dalili moja kubwa; Lowassa's comeback. Sidhani kama kuna mwanasiasa mwingine yeyote ambaye anaweza kupata kuungwa mkono na wabunge wa CCM kama Lowassa. Kurudi kwake itakuwa ni kupata second chance na kujipanga vilivyo kwa ajili ya 2015. Kama siyo Lowassa ni mbunge gani mwingine wa CCM kutoka majimbo ya kuchaguliwa anayeweza kupata support na heshima ya kuwa Waziri Mkuu? Haitakuwa mara ya kwanza kwa Waziri Mkuu kurudia kiti chake mara ya pili.

Yetu macho.

hahahahahaha
Yawezekana unayobashiri yakawa ni ya kweli,kwani aliimudu vyema nafasi hiyo ukiachana na kasoro ndogo zilizojitokeza,lakini kama mzee wetu Pinda ataondoka,basi yawezekana kwa mala ya kwanza tukampata waziri mkuu mwananake ama Dr Magufuli kupata nafasi hiyo,
lakini kama Mh Rais ataamuwa kuiacha timu yake ya big 3 kuendelea na kazi yaani Dr Magufuli,Dr Mwakyembe na Prof Muhongo ktk nafasi zao za sasa,basi kinyang'anyilo chaweza kikawa kati ya Dr Migiro,Waziri mkuu aliyestahafu[E.L] ama Mh Sita.
ngoja tuone,nini kitatokea
 
Sio siri, Lowasa hakamatiki kwa sasa, na kila mtanzania anajua hilo.

It is now turning to one man race....

Lakini sidhani kama kuna sababu ya msingi ya kumshinikiza waziri mkuu ajiuzuru

Watanzania wote?Ulifanya wapi research!?Speak for yourself.
 
Kuna wa-tz more than 45 million, why we should recycle wazee na walioshindwa akina Lowasa. Nipeni hiyo kazi halafu mtaona shughuli

Ha ha ha ha. Jitokeze kwenye majukwaa. Mwaga sera zako.
 
Piga ua the new PM is Asha - Rose Migiro ambaye alishindwwa UN ikabiri arudi nyumbani mapema lkn kwa CCM is material thing!

Unajua kuwa ili uteuliwe kuwa pm ni lazima kwa mujibu wa katiba uwe mbunge wa kuchaguliwa?
huyu popo ASHA/ROSE (hajui dini anayoiamini) ni mbunge wa jimbo gani vile!!!!
 
Watanzania wote?Ulifanya wapi research!?Speak for yourself.
Tatizo wewe unafanya siasa zako kwenye keyboard wakati watu wanaangalia reality

Nguvu ya Lowasa sio siri tena, kila mtu anajua hilo.

Lakini sisi sio kama nyie viroba mnaotangaza wagombea urais kabla hata ya uchaguzi.

CCM ina watu wengi sana wanaofaa kuwa marais ndio maana tukaitwa chama dume
 
Lowassa arudi amsaidie Rais kumaliza kipindi chake!
 
Tatizo wewe unafanya siasa zako kwenye keyboard wakati watu wanaangalia reality

Nguvu ya Lowasa sio siri tena, kila mtu anajua hilo.

Lakini sisi sio kama nyie viroba mnaotangaza wagombea urais kabla hata ya uchaguzi.

CCM ina watu wengi sana wanaofaa kuwa marais ndio maana tukaitwa chama dume

Dume lililohasiwa linaitwa maksai, ndio lisisiem, halina uwezo tena wa kutitika. linapandiwa kama bison, yale mamnyama ya amerika kaskazini.
 
Back
Top Bottom