Mh. Lema - Mawaziri hawapo bungeni jioni

Mh. Lema - Mawaziri hawapo bungeni jioni

kigoma mjini

Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
95
Reaction score
9
nawaziri wenye tuhuma inayojadiliwa hawapo wote bungeni mda huu.


Ameomba muongozo kwa mhe spika kwa kuwa kipindi cha jioni mawaziri husika Ulinzi,Maliasili na Utalii hawako bungeni kusikiliza hoja za wabunge kwa ajili ya ripoti ya OPERATION

Mhe. Spika hajautoa ameruhusu mjadala uendelee yamkini atautoa

Naomba kuwasilisha
 
Ameomba muongozo kwa mhe spika kwa kuwa kipindi cha jioni mawaziri husika Ulinzi,Maliasili na Utalii hawako bungeni kusikiliza hoja za wabunge kwa ajili ya ripoti ya OPERATION

Mhe. Spika hajautoa ameruhusu mjadala uendelee yamkini atautoa

Note: hata mhe Pinda mjadala unaendelea hayupo

Tanzania ni zaidi tuijuavyo
Naomba kuwasilisha
 
Wanaogopa kusulubiwa?.......Wakae wayaone sio wanakuna vitambi tu ofisini wakati watz wanauawa kwa kauli safi ya waziri mkuu kuwa liwalo na liwe piga ua umiza
 
Mizigo sasa imezidi kuongezeka na sasa serikali imejaa mawaziri mifurushi
 
Ujinga mtupu ... Majangili wanatabasamu kwa mivutano yao
 
Kama hawapo bungeni labda wamejiuzulu uwaziri na ubunge
 
watakuwa wako kwenye teleconference na mgonjwa ambaye yuko USA
 
Kinana na Nape ongzeni list ya mawazairi mifurushi na muwaite kamati kuu kuwahoji
 
Kwani yeye ni monitor?

Acha ushamba.......unakurupukia tu mambo!!!
Shirikisha ubongo wako si kila jambo ulete siasa zako.
Watu wanakufa na hoja ipo mezan tena ya msingi mawazir husika hawapo halafu unaleta utoto.
 
Back
Top Bottom