chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,682
- 22,685
Polisi.
kumbe ndo mnachofundishwa humo mawaidhani siyo,..
Polisi.
kumbe ndo mnachofundishwa humo mawaidhani siyo,..
kumbe ndo mnachofundishwa humo mawaidhani siyo,..
Njoo basi tutembelee usikilize, usingoje kuhadithiwa.
Ilikuwaje ? Lakini ni picha ya kusikitisha sana.
Usiseme hivyo wewe, punishment should fit the crime. hapa Ze Polisi ameenda mbali sana aisee.
Kama kila dhambi ingekuwa inatolewa adhabu hapa na kwa jinsi hiyo unafikiri tungekuwaje?
Haya hata useme shida ni mke wa mtu...Hao wasichana mnaolala nao daily na kuleta visa huku jukwaani kwani c wanakuja kuwa wake za watu?
Yani najua Mungu akituangalia jinsi tulivyopotea hasira zinaongezeka kila kukicha duniani, Ole wetu!!
kama hakumbaka kwani kosa ni la nani?
Mkuu Fugwe nakuunga mkono asilimia 100,unapomfumania mkeo anazini na mtu mwingine tena kwa hiari yake mwenyewe,kosa la mwanaume ni nini!hiyo adhabu ya kumtoboa macho alistahili apewe huyo mwanamke kwani yeye ndio aliesaliti,anajijua kuwa ni mke wa mtu halafu anaenda kumvulia chupi mtu mwingine,na kibaya zaidi inaweza kuwa alidanganya kuwa hajaolewa.kama hakumbaka kwani kosa ni la nani?
naogopa kulipuliwa,..
Inakuwaje hapa? Naona hadi meno yamebadilika rangi
Ndiyo ulivyodanganywa na kwa kuwa ni msukule ukakubali tu. Njoo ujionee ukweli wacha kudanganywa.
Usiseme hivyo wewe, punishment should fit the crime. hapa Ze Polisi ameenda mbali sana aisee.
Kama kila dhambi ingekuwa inatolewa adhabu hapa na kwa jinsi hiyo unafikiri tungekuwaje?
Haya hata useme shida ni mke wa mtu...Hao wasichana mnaolala nao daily na kuleta visa huku jukwaani kwani c wanakuja kuwa wake za watu?
Yani najua Mungu akituangalia jinsi tulivyopotea hasira zinaongezeka kila kukicha duniani, Ole wetu!!
ukweli kuuana tena Jamani,.
Jamani sikua na jinsi zaidi ya mukfanyia hivyo.Maana nilimuonya sana lakini akawa mkaidi,mbaya zaidi akawa anapata mgao wa mshahara wangu kwa 20% hivi,sikua na jinsi mara baada ya kuona wife ananilisha tembere tuuuuuu wakati mimi natoa pesa ya matumizi ya kutosha,baada ya kufatilia nikabaini jamaa ndiye anayeifahidi pesa yangu,tena nilimuhurumia sana,maana lengo langu nimtoboe mpaka masikio kenge huyo!!