Ruvuma mkoa wenye wasomi wengi lakini watumwa wa CCM, wameshindwa kutambua kama serikali ya ccm imeshindwa na haifai kuendelea kuungwa mkonomkoa unaopendwa na maccm ni Ruvuma
Ruvuma mkoa wenye wasomi wengi lakini watumwa wa CCM, wameshindwa kutambua kama serikali ya ccm imeshindwa na haifai kuendelea kuungwa mkonomkoa unaopendwa na maccm ni Ruvuma
Kwanini hakuitisha helcopter? wakati mwingine wawe wanatumia bodaboda
Pole sana Mkuu, jaribu kuvumilia maumivu kwani hakuna maendeleo yasiyo na karaha
sijawahi kuwa comfotable na zile kingo jinsi zilivyoinuliwa kwenye ile barabara. unless wabadilishe aisee. foleni siku itakuja kufika kimara mwisho
Tusiingilie taaluma za watu mitandaoni humu kama wapumbavu..
Kama unaona kuna kitu wanakosea ni bora kwenda mahakamani kuwashtaki, hivi vitu vipo kwenye mikataba na hakuna maendeleo yanayokuja bila maumivu..
Hata marekani tunayoiona nzuri sana leo napo watu waliumia na kulalamika sana wakati maendeleo yanawekwa..
Germany wanasifiwa kwa miundominu mizuri sana na sana, watu waliumizwa sana kipindi cha Hitler ili miundombinu hiyo ikamilike..
STRABAG sio wehu, na BRT Tanzania sio kazi yao ya kwanza na hata waliowapa Contract sio wapumbavu na huu mradi hawakupeana kirahisi kama kupeana namba na mademu Bar..
Soma mabango ya Strabag utaelewa namaanisha nini, World Bank, SMEC, IBRD na Brand nyinginezo wengi zilizopo kwenye mabango ya Strabag sio wajinga kuwasapoti Strabag..
Mfano hai ndio huu waziri mkuu mizengo Pinda kawekwa kwenye foleni na halalamiki maana anajua STRABAG ni kina nani na wamekuja kufanya nini? Na hakuna kiongozi wa Tanzania ataeweza kufanya chochote maana hii sio politics ni Taaaluma na watu wapo kazini na wanajua wanachokifanya
Tunaelewa kuwa barabara inajengwa upya, na tumeshazoea foleni.
Swali: Mh. Pinda naye kazoea foleni?!
Kweli ilkuwa kama 'Movie' vile. ilikuwa ni jana tu, around saa mbili usiku, nikiwa maeneo ya Ubungo-Kibo, Dar es Salaam, Tulisikia kwanza pilikapilika za misafara ya wazito- Vingora vikali vya 'kusafisha njia' na pia kuweka mazingira ya usalama, vilisikika kutokea Kimara -Baruti kuelekea kituo cha Kona, Ving'ora na mbwembwe za msafara viliongeza kasi zaidi kuelekea Ubungo-Rombo.
(Kwa taarifa tu ni kwamba wajenzi wa barabara hii- wamefunga njia mbili, na kuruhusu moja tu kwa waendao town na kurudi). Haya, msafara wa kizito wetu huyo ukatiririka na kuishia Ubungo Kibo, ilipoanzia foleni hiyo, hadi kwenye 'Mataa!!'
Ving'ora vimeunguruma mpaka Betri zimeisha bila mafanikio. malori ya makontena na daladala hazikuweza kupisha msafara huo, maana pembezoni mwa barabara zimeinuliwa kingo ndefu zinazozuia magari ya upande mmoja kwenda njia nyengine.
sasa ilibidi wale Ma-FFU waruke na kwenda kui-Guard gari ya mweshimiwa upande huu na huu, kama ile dizaini ya Obama vile, Bonge la Movie
Lisaa lizima
Maana tumechoka sasa, ukichelewa utakwama tu, namimi nasema amechelewa hivyo akwame tuakwame tu
Barabara ya ubungo haifai kabisa foleni masaa 3. hawa wajenzi wanafanya makusudi kuumiza watu kwanini wasijenge njia muda?
vibaya hivyo ndugu yangu ila nimeipenda sana hiinasema wakwame tu, tumechoka...