Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,164
Hivi babu unajua dhana ya utii wa sheria bila shurti?
Hata hivyo, kwenye suala la kurudi nyumbani mapema mi halina mjadala. Na labda ndio maana nimeangukia kwa zombie simply because anarudi nyumbani mapema. Enzi zile yaani niko vacant, tabia ya kurudi mapema home likuwa moja ya kigezo, kwa nini? Kwa sababu najua ninakwazika sana na mtu kurudi sie tushakula. Maisha yenyewe ya kupikia mkaa sijui unaanza kuamka na kuchemsha ugali, utauchemshaje?
Siwezi kabisa, atanikuta nimekaukia kitandani kwa hasira.
Hata hivyo, kwenye suala la kurudi nyumbani mapema mi halina mjadala. Na labda ndio maana nimeangukia kwa zombie simply because anarudi nyumbani mapema. Enzi zile yaani niko vacant, tabia ya kurudi mapema home likuwa moja ya kigezo, kwa nini? Kwa sababu najua ninakwazika sana na mtu kurudi sie tushakula. Maisha yenyewe ya kupikia mkaa sijui unaanza kuamka na kuchemsha ugali, utauchemshaje?
Siwezi kabisa, atanikuta nimekaukia kitandani kwa hasira.
That's my Kongosho in full swing....
Ila mama, hatuwezi kupata kila kitu tunachokitaka...ndiyo maana mwisho wa siku tunakubaliana na matokeo na kusonga mbele.....
Au wewe lazima Zombie atii mari zako 100%....?
Babu DC!!