Recent content by Baba Lao

  1. B

    JamiiForums Tanzania Boss wa Home Shopping Centre 'apewa shavu' na Tanzania huko China

    Habari hizi sio za kweli na Kama Serikali itaona kuna haja ya kuwa na Ubalozi mdogo Guangzhou basi itafanya hivyo kwa kumteua huyo Balozi mdogo moja kwa moja toka Tanzania na mwenye vigezo na sifa.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kikwete 'live' TBC1 Sept 9, 2009

    Sasa invisible sisi tulio mbali na Tanzania tutamsikiliza kupitia link gani?Naomba sana uweke audio yake hapa baada ya kumaliza hotuba
  3. B

    JamiiForums Tanzania Changia Mzumbe Onesha Uspecial wako!

    Ebu tuondolee hoja za ubinafsi.Watu kama nyie ndo mnaoendeleza fikra za kifisadi.Kwa hoja yako ya kibaguzi ni wazi kabisa kuwa ukiwa kwenye POSITION lazima uweke mbele UBINAFSI.Badilika mwanangu kama si mjukuu wangu
  4. B

    JamiiForums Tanzania WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    [QUOTE=mrugaruga;537289]Ndiyo, RRI wanatengeneza TURBINE za kutumia natural gas tuliyonayo hapo nyumbani. Je una data zozote kuhusu ule mradi wa pili wa Oil Generator wa Mwanza?ule wa 60MW?je atachukua mjukuu wa richmond?
  5. B

    JamiiForums Tanzania WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Mrugaruga huo mtambo unaousemea ni wa gas(100MW).Kama Kweli Serikali imeziba masikio na wawape mradi huo NOOR OIL then waone kama watanzania tumelala.
  6. B

    JamiiForums Tanzania WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Kuna miradi miwili ya Tanesco.Moja wa Majenereta ya kutumia oil kuzalisha umeme .Huu utakuwa Mwanza na ni 60MW.Mwingine utakuwa wa majenerator ya Gas 100MW utafungwa ubungo.Sasa kama nilivyowaambia kujitahidi kufanya uchunguzi wa Hii miradi isije kupewa kampuni mtoto wa richmond a.k.a Noor...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mitambo ya Dowans imenunuliwa lini na Tanesco?

    [I] kAAAAAZI KWELIKWELI.je hii ndo website yao?au ni wengine Refinery & Pipelines - Home
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mitambo ya Dowans imenunuliwa lini na Tanesco?

    MKUU KAMA HILI NI KWELI LA HIYO KAMPUNI YA noor oil UFISADI MWINGINE ,TUTAPAMBANA NA TANESCO KABLA SAMAKI HAJAWA MKAVU.WAKUU TUKAE TAYARI.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Zitto kufanya press conference Dar!!!?

    Aisee huyu bwana mdogo Zitto Dowans anaanza kuchafua hali ya hewa!!Walio karibu naye huko Tz .Pamoja na Tanesco kutangaza kununua mitambo mipya miwili yenye kuzalisha 160MW yeye bado anang'ang'ania Dowans!
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Mwakyembe na Hoja za Mgongano wa Maslahi

    Watanzania si wajinga TENA!! Hatutalazimishwa kuoga maji machafu na walio wachafu!Zitto kaoga maji machafu aliopewa na wachafu.Mwakyembe katu usiyaoge maji hayo!
  11. B

    JamiiForums Tanzania Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

    Magufuli pongezi zikufikie.Ni mwanzo mzuri na kaza mwendo ,tutafika.Nadhani bie ya samaki ni Ghali kutokana na MAHARAMIA KUIBA SAMAKI WETU.Kwa hiyo mwanzo huu utaleta unafuu kwa siku zijazo na tutapata samaki wengi na kwa bei nafuu.Naamini mpango huu una maana kubwa ya kudhibiti Maharamia ili...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Zitto sasa apachikwa jina la 'DOWANS'

    Sioni sababu ya kumshupalia Zito.Alilewa umaarufu kiasi cha kutufanya wana JF mabwege na akifikiri kila atakachosema tutamsuport akifikiri JF ni upepo unaolekekea chama fulani,kwa hiyo maamuzi atakayosema na misimamo basi nasi tutaelekea huko.JF haina CHAMA,HAIMBEBI MTU,ila Inasupport,inalinda...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mpiga debe wa Kichina stendi ya Ubungo

    We Jafar si wapenda mteremko,wacha wazee kwa kazi wajitume maana inawezekana wanaona wabongo longo longo kibao na watu wa kupenda mteremko
  14. B

    JamiiForums Tanzania Pikipiki zisizotumia Petroli

    mkuu kilongwe 1000 yuan au 3000 yuan ni sawa na shilingi ngapi za kikwetu?Hapo umeniacha kidogo
  15. B

    JamiiForums Tanzania Pikipiki zisizotumia Petroli

    Hiyo ni kweli.Wachina karibu miaka 5 sasa hawatumii pikipiki za petrol.Ni pikipiki za umeme tu.Na ukionekana una ya petrol unakamatwa.Wanapunguza uchafuzi wa mazingira.
Back
Top Bottom