Kuna taarifa kwamba Zitto Zubeir Kabwe na Peter Serukamba wanatarajiwa/wanafanya/wamefanya press conference ya pamoja jijini Dar es Salaam leo.
Sina hakika kama wanazungumzia nini, lakini tetesi zinaweza kuwa wanazungumzia tatizo la umeme mmkoani Kigoma na kwamba wao ndio wanaojua shida ya umeme na kwamba bora mitambo ya Dowans inunuliwe ipelekwe huko Kigoma.
Kimya kimezidi na kwamba hakuna kati yao anayesema wazi kuhusiana na hayo. Mwenye hayo atuambie, waandishi tujulisheni. Kunani?
Sina hakika kama wanazungumzia nini, lakini tetesi zinaweza kuwa wanazungumzia tatizo la umeme mmkoani Kigoma na kwamba wao ndio wanaojua shida ya umeme na kwamba bora mitambo ya Dowans inunuliwe ipelekwe huko Kigoma.
Kimya kimezidi na kwamba hakuna kati yao anayesema wazi kuhusiana na hayo. Mwenye hayo atuambie, waandishi tujulisheni. Kunani?
Last edited by a moderator: