Obhusegwe
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 231
- 28
Hello wakubwa,
Jana nikiwa nimekaa sehemu nikisubiri shoeshiner amalize kuning'arishia viatu, nilimwona jamaa akisepa mitaani na kapikipiki fulani hivi lakini kalikuwa hakatoi mlio wowote, nikashangaaa. Nilivyowaulizia watu waliokuwa wamekaa karibu karibu (akiwemo na shoe shiner) wakasema ni pikipiki inatumia betri, yaani unachaji then unatambaa barabarani, hakuna kuingia petrol station wala nini!! Waliendelea kusema kuwa huyo jamaa mwenye piki*2 hiyo anakaa mbagalla, na anatumia kwa siku tatu to and fro ndo anachaji betri kwny umeme! Nasikia ni tech ya MCHINA
Sasa sijui ni kweli au la, jamani naomba mtu mwenye uhakika anihabarishe nijue zinapatikana wapi nijichukulie moja make nimechoshwa na hizi habari za petroli!!
Plz mwenye data za uhakika amwage hapa nahisi kuna watu wengi tunaweza kufaidika na hii teknolojia.
Thanks, nasubiri michango yenu.
Jana nikiwa nimekaa sehemu nikisubiri shoeshiner amalize kuning'arishia viatu, nilimwona jamaa akisepa mitaani na kapikipiki fulani hivi lakini kalikuwa hakatoi mlio wowote, nikashangaaa. Nilivyowaulizia watu waliokuwa wamekaa karibu karibu (akiwemo na shoe shiner) wakasema ni pikipiki inatumia betri, yaani unachaji then unatambaa barabarani, hakuna kuingia petrol station wala nini!! Waliendelea kusema kuwa huyo jamaa mwenye piki*2 hiyo anakaa mbagalla, na anatumia kwa siku tatu to and fro ndo anachaji betri kwny umeme! Nasikia ni tech ya MCHINA
Sasa sijui ni kweli au la, jamani naomba mtu mwenye uhakika anihabarishe nijue zinapatikana wapi nijichukulie moja make nimechoshwa na hizi habari za petroli!!
Plz mwenye data za uhakika amwage hapa nahisi kuna watu wengi tunaweza kufaidika na hii teknolojia.
Thanks, nasubiri michango yenu.