TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
Kama mtu kakuboa unaachana nae....
Kuna baadhi yapersonalities [ambazo mara nyingi ni strong and bright] huwa zikipotea njia inawasumbua sana kurudi kundini, mmoja wapo ni ndugu yetu zitto. ana point muhimu kwa anlysis yake na yuko sahihi kwa upande wake, tatizo ametofautiana na wengi na dawa kubwa ni kujirudi; sometimes watanzania huwa inabidi tukubaliane hata kama tunajua kwamba baadhi ya makubaliano hayakuwa sahihi professionally... I hope atajifunza jinsi siasa ya bongo ilivyo-tofauti na za kijeshi
UKIONA NYANI KAZEEKA UJUE KAKWEPA MISHALE MINGI NA SI KACHOMWA MISHALE MINGI
KAAJI KWEIKWEI
Kuna baadhi yapersonalities [ambazo mara nyingi ni strong and bright] huwa zikipotea njia inawasumbua sana kurudi kundini, mmoja wapo ni ndugu yetu zitto. ana point muhimu kwa anlysis yake na yuko sahihi kwa upande wake, tatizo ametofautiana na wengi na dawa kubwa ni kujirudi; sometimes watanzania huwa inabidi tukubaliane hata kama tunajua kwamba baadhi ya makubaliano hayakuwa sahihi professionally... I hope atajifunza jinsi siasa ya bongo ilivyo-tofauti na za kijeshi
UKIONA NYANI KAZEEKA UJUE KAKWEPA MISHALE MINGI NA SI KACHOMWA MISHALE MINGI
KAAJI KWEIKWEI