WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

kuna mafuta kibao. mengine yako kibwena tu kule lake Rukwa basin ambayo tunge supply Zambia na hili bomba la mafuta toka Dar lingekatika ili wachukue mafuta yetu badala ya yale ya uarabuni toka Dar.(Tazama pipeline). Mtwara na Lindi, na visiwa vingine vya Tz ukiondoa Pemba na Zanzibar ambavyo tayari kuna uhakika, kuna mafuta mengi tu. along lake Tanganyika kuna mafuta pia(burundi walisha discover presence ya mafuta kwenye kale ka top kao ka lake tanganyika. tz na congo ndio wenye eneo kubwa zaidi la lake Tanganyika hivyo kama ni kuchimba mafut alake tanganyika tz na congo wangefaidi zaidi kuliko mengine.

presence of gas ambayo tz tulishaanza hata kufulia umeme na kuuza mombasa kwa wakenya, ni dalili kubwa sana kwamba mafuta yapo kule mnazi bay na songosongo island. bado mafia. Mungu ibariki Tanzania.

resources kibao, Mungu atupe nini jamani,gunia la chawa ili tuwamwagie mafisadi? we have coal deposit ambayo tunaweza kutumia zaidi ya miaka hamsini na mia moja. tunaweza kufulia umeme mwingi tukauza nchi zingine hizi. tunayo chuma ya kuchimba miaka mingi sana kule liganga. walisema wanataka kujenga kaleli hadi kule ludewa ili kubeba iyo chuma to the coast, lakini hadi sasa wanang'aa macho tu. wangetupatia sisi wengine hii nchi ndo wangeona namna tunavyfanya. Tz is among the richest nations in terms of resources, tunayo bahari pia ya kusafirishia hivi vitu. t

Hayo yote uliyonena ni swadakta, lakini utachimba na vidole?

Swali hilo ndio jibu lake unalipata unapoona JK akihaha Magharibi na Mashariki kutafuta wachimbaji, mara tumeona ka Mmmerekani, mara kaja Mchina, na mara tutaona na wengine wengi wakija. Hayo yote JK anayajuwa zamani (na wengine wengi) na anayafanyia kazi kishujaa kabisa. Na karibuni tutaanza kuona (tukiwa hai) matunda yake.
 
asihangaike kabisa kwenda kwa wamarekani, hao watu wanaoshabikia kutoa mimba na ushoga/usagaji. wameshalaaniwa wale, wanasubiri tu hukumu. tulale mbele na wachina na wajapan labda. mashariki ya mbali na india kwetu ndo dili kwa sasa. wamarekani kwanza lazima wafanye kwa kenya kwanza ndo waje tz. pamoja na hayo, sina uhakika kama jamaa anahaha kutafuta kitu kama hicho. kidogokidogo hujaza kibaba. hiyo mimia ya mabilioni waliyoiba watz wenzetu kama itataifishwa na wao wakauziwa mali zao tupate pesa, tungepata pesa hata trillion moja ya kitz. hela kama hiyo inatosha kabisa kununua technologia na kuanza kuchimba sisi wenyewe kwa mitambo yetu. hatuhitaji trillion kumi kufanya kitu kama hicho, hata trillion moja atu billion mia tano zingetosha. hapo watz ndo waone jinsi mafisadi walivyotunyong'onyeza sisi wenzao.

pili,jk toka aanze kupiga safari za utaliii, hajaingiza hata senti moja. safari moja ya jk inagarimu si chini ya million mia tano. angesevu hizo, na zingine nyingi tungesacrifice toke maeneo mengine tungeweza kujaribu sisi wenyewe kufanya kitu. tusitegemee watu toka nje waje watufanyie maendeleo hapa. sisi wenyewe kama tuna pesa tunaweza. na pesa zipo, ila hatujui kuzitumia. anayebisha anyoshe mkono.
 
Hayo yote uliyonena ni swadakta, lakini utachimba na vidole?

Swali hilo ndio jibu lake unalipata unapoona JK akihaha Magharibi na Mashariki kutafuta wachimbaji, mara tumeona ka Mmmerekani, mara kaja Mchina, na mara tutaona na wengine wengi wakija. Hayo yote JK anayajuwa zamani (na wengine wengi) na anayafanyia kazi kishujaa kabisa. Na karibuni tutaanza kuona (tukiwa hai) matunda yake.

That's Big NOOOOOO, things do not go in that way. Economic deal can not be delt by inviting whoever you think has technology to see and decide what he/she can do, but rather giving specific terms of reference of what you want be done in a transparent manner. Is JK told you personally his motive behind those Chinese and Americans he brings to the country as you commended?. You shouldn't be hyperactive to JK when he is doing nothing.
 
And who told you Mwana wa Mungu that China is a way to go? Have you been close to these people? I think they are the most undetermined and dangerous people to work with. Far better Americans, pamoja na madhambi yao uliyoyasema.
 
Noor Oil - Tanzania
Contact Us :

MINOO DAVAR

PRESIDENT

NOIT HQ. USA


NOOR OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY
Corporate address : P. O. Box 6878 Thousand Oaks. CA. 91359 USA
Tell: 8054968246
FAX: 8054965126
E-mail : nooroil@aol.com , m.davar@nooroilrefinerytanzania.com



Wana uhusiano gani na hawa
Refinery & Pipelines
P.O.Box 6878
Thousand Oaks
LA
United States
ph: 8054968246


No physical address, no zip code - only phone number ! Kinachoshtua ni ukubwa wa mradi waliopewa ! Angalieni na hiyo lugha kwenye ripoti yao !

8TH FEBRAURY 2007, THE MINESTER OF PLANNING , ECONOMY AND EMPOWERMENT HAS ISSUED A PRESS RELEASE ON BEHALF OF THE NATIONAL INVESTMENT STEERING COMMITTEE UNDER THE CHAIRMANSHIP OF HONORABLE PRIME MINISTER EDWARD LOWASSA (MP), AND GRANTED M/S. NOOR OIL AND INDUSTERIAL TECHNOLGY WITH THE STRATEGIC INVESTOR STATUS, FOR THE COSNTRUCTION OF OIL REFINERY AND OIL PIPELINE BETWEEN DARS ES SALAAM TO MWANZA AND KIGOMA.

Inatisha !!
 
Turudi nyuma kidogo...........

Now that the 18 month contract awarded to the Houston based firm Richmond Development Company (RDC) for a feasibility study of the project for a 1500 km pipeline from Dar es-Salaam to Mwanza came to an end at the beginning of 2006, the Tanzanian government intends to authorise another company to take part in the project.

Africommerce/ noor oil/ Richmond/ Dowans - connection ?

website inasema hivi:-
We are updating our site, please revisit us in few hours

Nous somme entrain de remettre notre site ajour veuillez revisiter dans quelques heures​
Thanks for visiting africommerce.com
 
NOOR OIL IN MTOTO WA ( RICHMOND BAADA YA KUWOWANA NA ENERGEM YA CANADA) ZOTE NI KAMPUNI ZA ASIAN FRAUDERS NOOR IKO CALIFORNIA, RICHMOND IKO TEXAS-HOUSTON NA ENERGEM IKO CANADA.
------------------------------------------------

[SIZE=+0][SIZE=+0][SIZE=+0]After Tanzania’s AfriCommerce, the U.S. firm Richmond and Canada’s Energem, a consortium made up of Noor Oil and the Russian firms Stroytransgas and Zakneftegaz owned by the Armenian Senik Gevorgyian has said it intends to build an oil pipeline stretching from Dar Es Salaam to the cities of Mwanza and Kigoma, as well as a refinery with a capacity of 200,000 bpd.[/SIZE][/SIZE][/SIZE]
 
NOOR OIL IN MTOTO WA ( RICHMOND BAADA YA KUWOWANA NA ENERGEM YA CANADA) ZOTE NI KAMPUNI ZA ASIAN FRAUDERS NOOR IKO CALIFORNIA, RICHMOND IKO TEXAS-HOUSTON NA ENERGEM IKO CANADA.
------------------------------------------------

[SIZE=+0][SIZE=+0][SIZE=+0]After Tanzania’s AfriCommerce, the U.S. firm Richmond and Canada’s Energem, a consortium made up of Noor Oil and the Russian firms Stroytransgas and Zakneftegaz owned by the Armenian Senik Gevorgyian has said it intends to build an oil pipeline stretching from Dar Es Salaam to the cities of Mwanza and Kigoma, as well as a refinery with a capacity of 200,000 bpd.[/SIZE][/SIZE][/SIZE]
africomerce ni akina nani? maana najua kuna watanzania walikuwa wanalalamika kunyimwa huo mradi. na kupewa watu wengine
 
[SIZE=+0][SIZE=+0][SIZE=+0]After Tanzania’s AfriCommerce, the U.S. firm Richmond and Canada’s Energem, a consortium made up of Noor Oil and the Russian firms Stroytransgas and Zakneftegaz owned by the Armenian Senik Gevorgyian has said it intends to build an oil pipeline stretching from Dar Es Salaam to the cities of Mwanza and Kigoma, as well as a refinery with a capacity of 200,000 bpd.[/SIZE][/SIZE][/SIZE]

Mradi wa US$ 3,500,000,000 sawa na shilingi trillion 4 (Tsh. 4,000,000,000,0000) inapewa kampuni ya mfukoni (Briefcase Company), je tutafika ? Wakati tunatoana macho kwa mambo ya dini, nchi inafilisiwa.
 
JF on a trail to unearth another TZ gnome!!

We acha tu - kuna mpango wa kuwapa tenda ya ku'supply' generator za umeme - yale yale ? Si ajabu hiyo mitambo ile ile tunayoipiga vita ikaingia kupitia kwa mlango wa uani. Kweli the world is a small place lakini tuwe tayari kula nao sahani moja - iwapo hatujachelewa, maanake ujanja kupata :mad:
 
GT at work. Usihofu mkubwa safari hii BOSS ama DON RA hataguswa.

"Tintin! are you dead? Say yes or no but answer me!" - Snowy: The Land Of The Soviets

"They're trying to stop us with a ramshackle erection!" - Tintin: The Calculus Affair
 
Kuna miradi miwili ya Tanesco.Moja wa Majenereta ya kutumia oil kuzalisha umeme .Huu utakuwa Mwanza na ni 60MW.Mwingine utakuwa wa majenerator ya Gas 100MW utafungwa ubungo.Sasa kama nilivyowaambia kujitahidi kufanya uchunguzi wa Hii miradi isije kupewa kampuni mtoto wa richmond a.k.a Noor refinery yakawa yale yale .KUMBUKA MITAMBO YA DOWANS BADO IPO TANZANIA.Wenye uwezo wa kusoma harama za nyakati wazisome.
 
lengo lao hao viongozi wetu wanajidai ni wanasiasa ni kutuchanganya na mambo ya dini ili wao waendelee kuchota. hawawezi kuacha manake wameshajikomit kwa mafisadi, wamewekwa sawa kiganjani, hawafurukuti.

dawa ni kuwaondoa tu, hawawezi kufanya mabadiliko, wameshajifunga kwenye WEB.
 
Back
Top Bottom