Davies mosha hata Mimi hanishindi awez kuwa tajiri Ila Mohamed Dewji ndio namba moja kwani angalia anafanya kila biashara you name it Mimi nakwambia kutoka kilimo mpaka viwanda pia angalia amewajiri wafanya kazi wengi kuliko mtu ama kampuni yeyote tanzania
Chozi la munyonge malipo kwa mungu Mimi sharifu wakichagga namuomba ALLAh akufanyie wepes wewe na mgonjwa wako kwani hadithi zako Zina fanya watu wapunguze stress za mjini bila kufanya dhambi maslan kulewa Ama kuzini kwa hiyo nawe Allah anakupa fungu lako kesho utalikuta peponi pia kuumwa ni...
Mwanamke mi bidhaa ambayo bwana Mungu aliundaa inaupekee wa kila kitu maana mpaka ujue wanachotaka lazima upitie maneno yake Mungu Kama user menu ndio uweze angalau kuwaelewa lakin si vinginevyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.